Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,751
- 7,535
Hilo linafurahisha. Wadau (Wana JF) nimesikia pia kuwa kuna kigogo mwingine wa CCM babati naye ametangaza kuhamia CDM! Mwenye habari zaidi anijuze nifurahi zaidi!Kwa taarifa za uhakika nilizopata Mtunza Hazina wa Wilaya ya Mbozi toka CCM anahamia CDM leo mchana, kila kitu kiko tayari imebaki kwenda kumkaribisha mbele ya wanachama mchana wa leo.