Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
hapa kuna kulipizana kisasi, kwani haiwezekani mtu atoweke kazini 2008 atafutwe leo. je hapa kati kati angekuwa anatapeli pesa za wateja kwa jina la kampuni ingekuwaje? they are not serious.
ni siasa uchwara tu hao
Kwa hiyo unadhani ukikwiba leo halafu ukakwepa kukamatwa kwa siku kadhaa basi utakuwa umesalimika? Angalia mazingira ya kesi hii, kama mwajiri alimpa nafasi alipe na hakufanya hivyo badala yake akaendelea kukusanya pesa zaidi toka kwa wateja mwajiri amuache tu kisa kosa lilianza 2008?