NgumiJiwe
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 861
- 305
Mshirika wa EPA, JITU PATEL alichanga milioni 250 katika ndoa ya Malecela na Anna Kilango; source Sofia Simba (Aliyekuwa Waziri wa Utawala Bora;- Bosi wa PCCB na TISS
duh yaani jamaa anachangia harusi 250M,kulaleki walahi..halafu mnasema umasikini wa Tanzania unasababishwa na ujamaa??