Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Kwa aliyesoma hilo gazeti tunaomba atuambie ni kigogo gani huyo, sio wote tuna access na hilo gazeti.
Umepewa source ya habari na rudufu ya gazeti husika, kilichobaki ni wewe kuifanyia kazi, usisubiri kila kitu uwekewe mezani.
Sidhani kama hili habari inapatikana online kupitia website ya gazeti husika, pia kumbuka wengine hatuko bongo, hatuna kulipata hilo gazeti haupo. Think ! Think ! Great thinker Think!!!
shigongo amelinunua mkuuNataka nitoe mtazamo wangu juu ya Rai kama gazeti la biashara. Unapoishiwa content na kupoteza mvuto unaanza kuokoteza habari toka kila mahali. Mwishowe unakosa unajikuta umebadili mlengo, mtazamo na soko. Rai baada ya kupolomoka linaanza kugeukia soko la habari za ufuska na ngono kama yalivyo magazeti ya Shigongo.
Bado wawabake na mama zao kabisa ili wawe maraisi