Kumbe ilikuwa inawezekana Waziri kumsimamisha kazi Mkurugezi wa TBS, sasa Chami alishindwa nini?
Chami alikuwa hajapewa go ahead na JK. Kwani wewe hukusikia aliyoyasema JK siku anamtangaza Kigoda na wenzake kuwa mawaziri?. Soon utasikia na bandarini kumenuka!. Ni mwendawazimu pekee atakayedhani kuwa waziri ndiyo katoa maamuzi haya. Kuna mtu ambaye hapendi lawama ndiye anatoa idhini hii huku amejificha chini ya dawati asionekane. 'Leading while hidding'