Hata kama hazitarudi,hii itafanya pawepo na ka umakini kidogo ili kitumbua kisiingie mchanga mapema.
What PCCB for, is mismanagement of Public funds dealt under PCCB ? that isn't bribery, who did Ekelege bribe then.
Absolutely True!!!PCCB as hopeless as ever!!!
kama kigoda ana mamlaka ya kumsimamisha kazi Ekelege
Chami alishindwaje manake alisema hana mamlaka hayo.
by the way kumsimamisha haitoshi bila kuwaona wakifikishwa mahakamani na mali
zao kutaifishwa ikiwezekana auzwe yeye na familia yake kufidia deni
Kumbe ilikuwa inawezekana Waziri kumsimamisha kazi Mkurugezi wa TBS, sasa Chami alishindwa nini?