Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
je tanzania tunakosea kutumia lugha ya english kama kigezo cha kuchagua miss tanzania? sababu warembo wengi english aipandi kichwan kwa wale waliosoma shule za sikinde,je tuache kutumia kigezo cha english kuchagua miss tz