Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Habari ndio hiyo, Kigamboni haina serikali. Watu wanaendesha maisha wanavyotaka wao. Ikifika saa mbili usiku nauli za daladala zinapandishwa kwa kiwango wapendacho madereva kuanzia TZS 500 hadi TZS 1000.
Kiwango hicho hakiangalii unashuka wapi, sehemu yeyote utakayoshuka nauli ni hiyohiyo.
Kiwango hicho hakiangalii unashuka wapi, sehemu yeyote utakayoshuka nauli ni hiyohiyo.