ndugu. jamanii my sisters and brother by 2030 kigamboni wont be the kigamboni tunayoijuwaleo.There is a project which has started this year 2011 ending 2030.I downloaded some pdf files showing me the maps and whats gioing to be build..
but the questionn is is it for the Tanzanian? because itatulazimu to pay for the Bills which will include things like water,gas etc.. a Tanzanian living / day less than 1$ atamudu?
KUNA TETESI KWAMBA ENEO LA KIGAMBONI WAMEPEWA WAMAREKANI.
LENGO KUPAFANYA PAWE BONGE LA JIJI. Naomba msaada wenu wanaJF.
Ili iwasaidie vipi? Nauliza hivyo kwa kuwa states nyingi huku zina-struggle vibaya sana financially. Sasa watafaidika vipi na kupewa hiyo Kigamboni, hapa ndio sielewi unless may be iwe ni naval base.
The Kigamboni new city master plan is designed to build a core for accommodating new land demand such as residential, commercial, trade and business, industrial, educational and recreational facilities in Dar Es Salaam.<!--?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /--><o></o>
The first purpose is to create well-organized connection between old urban centers and the new city.<o></o>
The second purpose is to build future-oriented new model city with ICT base and excellent living environment.<o></o>
The third purpose is to develop urban economic competitiveness through supplying new opportunities in advanced industry fields.<o></o>
Through the Kigamboni new city project, Tanzania can reinforce the leading position in the African Continent.
<o></o>
<o></o>
Nina Video ya hii master plan toka wizara ya Ardhi si mchezo, pateni picha za hiyo video kwa ufupi. Invinsible nifahamishe namna ya kuupload video ni kubwa sana kama 600MB nishee na Watanzania.