KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
we can confirm kwamba kigamboni inahujumiwa na wakubwa fulani ambao wameanza kwa kuleta mgao wa masaa kumi na tano siku
tumepewa 'go slow' kwenye ferry
tunaambiwa sie ni waislamu na hatuna cha maana zaidi ya mihadhara tu!!
mbunge wetu anajenga sie tunazuiwa, he is christian
i can confirm TANESCO station hapa kigamboni kasema hatuna haja ya umeme sie ni wa kulala na kuamka wa umeme wako bandarirni
THANKS CCM
tumepewa 'go slow' kwenye ferry
tunaambiwa sie ni waislamu na hatuna cha maana zaidi ya mihadhara tu!!
mbunge wetu anajenga sie tunazuiwa, he is christian
i can confirm TANESCO station hapa kigamboni kasema hatuna haja ya umeme sie ni wa kulala na kuamka wa umeme wako bandarirni
THANKS CCM