babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,103
- 15,996
wanajamii TZ sijui vipi,wakati watu bado wana machungu ya hawa waarabu wanavyowafanyizia wamasai huko loliondo nimepata tetesi eti kigamboni ashagawiwa mmarekani??!sijui kweli au vipi naomba mwenye data tujulishane.