Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
,
Hii inaonesha kuwa MJI WA KIGAMBONI UTAKUWA NI WA KIBEPARI ZAIDI na kuwa watakaokaa maeneno hayo ni watu WENYE MAGARI TU ! au siyo ? Naomba Mr NSSf anijibu tafadhali ...haingii akilini kujenga daraja ambalo halina sehemu ya waenda kwa miguu wala baskeli , ni wazi huo ni mji mtarajiwa wa KIBEPARI ! Mr.NSSF tafadhali nijibu nina shauku!
Mkuu Mkomatembo punguza hasira kidogo,
Hilo daraja lina sehemu za waenda kwa miguu pia...kwa pande zote mbili. Dr. Magufuli amezungumzia pia kwenye hotuba yake hapo juu angalia kuanzia dakika ya 6.35.