Kigamboni Bridge Contract Signed

Samahani, hilo daraja tutajua tunalipia au?
Kama tutalipia ushuru wa daraja afadhali lisijengwe ila kama ni free kama la manzese poa tu

Mkuu project hii ni kwa mtindo wa BOT. Kama hutaweza piga mbizi.
 
Kati ya hizi kampuni sita mojawapo ndio itapewa zabuni ya kujenga daraja la Kigamboni sasa sijui itakuwa ni kampuni gani..

1. Long Jian Road and Bridge Limited - China
2. Schuan Road and Bridge Limited - China
3. China Communication and Construction Limited - China
4. China Railway Construction Engineer Group - China
5. China Major Bridge Engineer Limited - China
6. Chong Qung - China

Inawezekana ni hiyo hapo mkuu. Thanks
 
Hamna cha bure ndugu nakupa mfano nilipokuwa China kutoka hangzhou kuna barabara mbili ... Ya chini ambayo ni free utatumia masaa ma nne kufika shanghai na kuna ya juu hangzhou - shanghai express way masaa mawili ... Hiyo inalipiwa itakuja kuwa bure mpaka bajeti ya pesa iliyotumika irudi...

Kwa kuongezea hata Uingereza kwa bibi daraja hilo lipo, ispokuwa wakati wa kwenda ndio unatoa pound 1 na wakati wa kurudi ni bure , na nilipita hapo miaka ya 2003, sijui sasa hivi kama tozo bado ni hizo hizo, kwa kukufahamisha tu ni kuwa, NSSf haingii katika deal ambalo haliwezi kupata faida, hapo wameona kuwa kutakuwa na faida kubwa tu kwa sababu mji wa Kigamboni unakuwa na kama wataweka daraja watu wengi sana watalitumia na hatimae na wao kufaidika na tzo hizo!

BigUP Dr. Dau ...
 
Msanifu aliyechora daraja la Kigamboni ni kutoka Misri anaitwa Mohamed Shohayeb wa Arab Consulting Engineers

DSC00760.JPG
Ni kweli jamaa mzuri na ndio aliyengineer mkapa bridge although haikua cable stay
 
Interesting. . .
Ngoja sasa tuone kama kazi itafanyika au la.


This is one of the really engineering piece of work in our country. Our involvement should be crucial because of the technology and skills in executing the project. We need to know what is done so that we can be able to build thousand of those bridges in the future if need be!!!!
 
Gharama ya mradi wa ujenzi 214 bill, wajenzi CRJE Tanzania na ndugu zao walioko China. (CRJE ni kampuni ya kchina iliyosajiliwa Tanzania). Mshauri toka Egypt kama alivyosemwa hapo juu yeye gharama ni USD 4 Mil.
 
Gharama ya mradi wa ujenzi 214 bill, wajenzi CRJE Tanzania na ndugu zao walioko China. (CRJE ni kampuni ya kchina iliyosajiliwa Tanzania). Mshauri toka Egypt kama alivyosemwa hapo juu yeye gharama ni USD 4 Mil.
Yap kuna taarifa nimeziona zinasema waliopewa tenda ya kujenga ni CRJE wakishirikiana na MAJOR BRIDGE ENGINEERING zote za China
 
Kati ya hizi kampuni sita mojawapo ndio itapewa zabuni ya kujenga daraja la Kigamboni sasa sijui itakuwa ni kampuni gani..

1. Long Jian Road and Bridge Limited - China
2. Schuan Road and Bridge Limited - China
3. China Communication and Construction Limited - China
4. China Railway Construction Engineer Group - China
5. China Major Bridge Engineer Limited - China
6. Chong Qung - China

nazikubari kampuni za china,ili mradi tu uwalipe chao wao hawana shida

angalia ile barabara ya Dumila Kilosa,jamaa wamejitahidi sana kuiandaa na mwisho wa siku watatoka na barabara yenye kupitika masika na kiangazi
 
Litapendeza!!! nadhani baiskeli,,Guta na waenda kwa miguu hawatakuwa na njia kwenye hili daraja????
 
Tunasubiria utekelezaji baada ya kuongelewa kwa muda wa miaka kumi

Ila mi huo mzunguko umenichosha, unacreate distance kubwa kweli. Kutembea kwa miguu hapo (kama uwezekano utakuwepo) utakua ni mtihani haswa.
 
IMG_4361.jpg


IMG_4411.jpg



Wana JF

Unlike mifuko mingine ya pensheni na idara zingine za serikali

NSSF chini ya uongozi wa Dr Dau ulitoa ahadi kuwa watajenga daraja na leo hii mkataba umesainiwa.
kazi itafanywa na China Railway Jiangchan Engineering (CRJE) na Major Bridge Engineering

Sasa kila mwenye swali kuhusu huu mradi alilete na atajibiwa ipasavyo
 
Back
Top Bottom