Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
11(3) Serikali itafanya jitihada kuhakikisha kwamba watu wote wanapata fursa sawa na za kutosha kuwawezesha kupata elimu na mafunzo ya ufundi katika ngazi zote za shule na vyuo vinginevyo vya mafunzo.
Nafikiri wakati wa Mwalimu Nyerere hii ilikuwa sawa. Naomba kifungu hiki kifutwe hata kabla ya kupata katiba mpya.:clock::lever:
Nafikiri wakati wa Mwalimu Nyerere hii ilikuwa sawa. Naomba kifungu hiki kifutwe hata kabla ya kupata katiba mpya.:clock::lever: