Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
- #161
Why only Europe and America and not the rest of the world ukijumlisha na Tanzania yenyewe sasa jamani Union iwe ni ya watu waliokuja Marekani tu na Ulaya na si kwingineko.Kuna watu wapo India, Japan, The Phillipines,Mexico,Cuba,Canada,Brazil sasa huu ubaguzi tena nye vyangu si mnofu siwo. Lol!!
hahahaha Pakawa...okay mnyalukolo i know its bad kubagua but mainly ni kwa ajili ya yeyote yule aliyeko kokote kule iwe africa,asia you name it!....basi ingia jiunge kwenye kitabu cha sura jamani we need to re-unite