Kifua kipana/kikubwa kwa mwanaume kinawavutia nini akina dada?

The Magnificent

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
2,694
1,247
Ndugu zangu wanaJF,kuna mtindo siku hz wa akina dada kupenda wanaume wenye vifua vipana regardless ana sura nzuri au mbaya,hv ni nini hasa kinachowavutia wanawake kwa wanaume wenye vifua vikubwa? Ningepata comments nyngi zaidi kutoka kwa wahusika wenyewe ingependeza zaidi,nawasilisha bandugu!!
 
Ndugu zangu wanaJF,kuna mtindo siku hz wa akina dada kupenda wanaume wenye vifua vipana regardless ana sura nzuri au mbaya,hv ni nini hasa kinachowavutia wanawake kwa wanaume wenye vifua vikubwa? Ningepata comments nyngi zaidi kutoka kwa wahusika wenyewe ingependeza zaidi,nawasilisha bandugu!!

Mkuu una kifua kipana nini, subiri wahusika watakuja kukujengea confo
 
Ah!cku hz utandawazi huamulia watu aina ya wapenzi.mfano km matangazo ya magharibi yanaonesha wanaume mwenye misuli na vifua vpana au wanaume warefu,bas wanawake wa huku kwe2 wote nao watapenda wanaume wa aina hyo.hali iko hvyo hvyo kwa wanaume,km matangazo yataonesha wanawake wembamba na weupe basi wanaume wote watapenda wanawake wenye cfa hzo wakidhan kua mwanake mzuri lazma awe mweupe na mwembamba,kumbe c kweli!2natawaliwa ht kihisia na watu wa magharibi.u2mwa ulioje huu?hvyo kaka wanawapenda kwa 7bu wanapoangalia wa2 wa magharibi kwny luninga wanaona hivyo fifua ndo mana nao wanapenda.na c kupenda haswa ila ni KUTAMAN.mwanamke anaekupenda kwa 7bu ya umbile lako{body morphology}ni tapeli,jambazi,kibaka,fisadi,mchakachuaji na haramia wa wapenzi ,so watch out bro!usije ukalia mdomo juu km mbwa koko!
 
mimi n mmojawapo wa wenye vifua vipana, yaan haswa, na nilishapitia jimu kidogo na mazoezi mengi ya fitness. kutokana na mwili wangu, mazoezi yalichokoza nikajikuta nina kifua kama ubao. ni kuzuri actually huwa nashukuru Mungu. faida kubwa sana ninayoipata kwenye kifua changu kipana, nikilala na mke wangu lala hii ya kawaida sio unyumba, analala kabisa kwenye kifua changu, yaani kichwa chake anakiweka katikati ya kifua changu na anaweza akiamua akafanya kama mto, halafu mimi namkumbatia kama mtoto palepale kifuani na usingizi mnono unakuja hadi kesho. pili, wakati wa ku hug, ninafurahi kumweka katikati ya mwili wangu na kujisikia kama vile nimemwingiza kabisa kwenye moyo wangu pale kifuani....vilevile, mara zote pumzi yangu ni nzuri kinoma...naweza kwenda masafa yoyote hadi mwenzangu anafloat, akisema basi inatosha kwa leo, ndo namhurumia...ila kama yeye akitaka, tunaweza tukakesha kama kesho hatuendi kazini kama vile siku za jumamosi na ijumaa....NAONGEA UKWELI wala si ushabiki..

kakifua kembambaaaa, nadhani wanawake huwa wanajisikia si vizuri sana, mfano wa hugging, mwanamke akawa na matiti makubwaaa, kifua kipana, akikuhug mwanaume mwembemba na mwenye kakifua kadogo, anakujaa ni kama amekufunika vile...wewe unakuwa ndani so yeye anaonekana..the one atakayekuwa hugged ni mwanaume na si mwanamke kwa hapo..vilevile, pumzi nahisi itakuwa ndogo...pigeni mazoezi jamanii...panueni vifua vyenu kwafaida yenu na ya wapenzi wenu. kwakawaida watu wengi wenye vifua vipana ni wana mazoezi, ambao mishipa yao ya damu imepanuka na damu inapenya vizuriiii na kwa wingi jambo linalofanya hata kule kunako kusimama ngangari zaidi na mambo yanaenda freshssss.
 
mimi n mmojawapo wa wenye vifua vipana, yaan haswa, na nilishapitia jimu kidogo na mazoezi mengi ya fitness. kutokana na mwili wangu, mazoezi yalichokoza nikajikuta nina kifua kama ubao. ni kuzuri actually huwa nashukuru Mungu. faida kubwa sana ninayoipata kwenye kifua changu kipana, nikilala na mke wangu lala hii ya kawaida sio unyumba, analala kabisa kwenye kifua changu, yaani kichwa chake anakiweka katikati ya kifua changu na anaweza akiamua akafanya kama mto, halafu mimi namkumbatia kama mtoto palepale kifuani na usingizi mnono unakuja hadi kesho. pili, wakati wa ku hug, ninafurahi kumweka katikati ya mwili wangu na kujisikia kama vile nimemwingiza kabisa kwenye moyo wangu pale kifuani....vilevile, mara zote pumzi yangu ni nzuri kinoma...naweza kwenda masafa yoyote hadi mwenzangu anafloat, akisema basi inatosha kwa leo, ndo namhurumia...ila kama yeye akitaka, tunaweza tukakesha kama kesho hatuendi kazini kama vile siku za jumamosi na ijumaa....NAONGEA UKWELI wala si ushabiki..

kakifua kembambaaaa, nadhani wanawake huwa wanajisikia si vizuri sana, mfano wa hugging, mwanamke akawa na matiti makubwaaa, kifua kipana, akikuhug mwanaume mwembemba na mwenye kakifua kadogo, anakujaa ni kama amekufunika vile...wewe unakuwa ndani so yeye anaonekana..the one atakayekuwa hugged ni mwanaume na si mwanamke kwa hapo..vilevile, pumzi nahisi itakuwa ndogo...pigeni mazoezi jamanii...panueni vifua vyenu kwafaida yenu na ya wapenzi wenu. kwakawaida watu wengi wenye vifua vipana ni wana mazoezi, ambao mishipa yao ya damu imepanuka na damu inapenya vizuriiii na kwa wingi jambo linalofanya hata kule kunako kusimama ngangari zaidi na mambo yanaenda freshssss.

Mmmmmmmmmmmmmmhhhhh I can't buy ur saying!!!!! Kuna uhusiano gani kati ya kifua kipana na kwenda mda mrefu?? mmmmhhhh kunawatu nawajua wanavifua vipana lakini mademu zao wanatoka nje kutafuta sexula satsisfaction...ONlY Kegel Exercise ndo inakusaidi kurun maratho mbio ndefu
 
Kifua kipana na kwenda mbio ndefu? Nope...haiconnect...mbio ndefu ni ishu nyingine kabisa...labda hayo mengine uloelezea...!!!
 
mimi n mmojawapo wa wenye vifua vipana, yaan haswa, na nilishapitia jimu kidogo na mazoezi mengi ya fitness. kutokana na mwili wangu, mazoezi yalichokoza nikajikuta nina kifua kama ubao. ni kuzuri actually huwa nashukuru Mungu. faida kubwa sana ninayoipata kwenye kifua changu kipana, nikilala na mke wangu lala hii ya kawaida sio unyumba, analala kabisa kwenye kifua changu, yaani kichwa chake anakiweka katikati ya kifua changu na anaweza akiamua akafanya kama mto, halafu mimi namkumbatia kama mtoto palepale kifuani na usingizi mnono unakuja hadi kesho. pili, wakati wa ku hug, ninafurahi kumweka katikati ya mwili wangu na kujisikia kama vile nimemwingiza kabisa kwenye moyo wangu pale kifuani....vilevile, mara zote pumzi yangu ni nzuri kinoma...naweza kwenda masafa yoyote hadi mwenzangu anafloat, akisema basi inatosha kwa leo, ndo namhurumia...ila kama yeye akitaka, tunaweza tukakesha kama kesho hatuendi kazini kama vile siku za jumamosi na ijumaa....NAONGEA UKWELI wala si ushabiki..

kakifua kembambaaaa, nadhani wanawake huwa wanajisikia si vizuri sana, mfano wa hugging, mwanamke akawa na matiti makubwaaa, kifua kipana, akikuhug mwanaume mwembemba na mwenye kakifua kadogo, anakujaa ni kama amekufunika vile...wewe unakuwa ndani so yeye anaonekana..the one atakayekuwa hugged ni mwanaume na si mwanamke kwa hapo..vilevile, pumzi nahisi itakuwa ndogo...pigeni mazoezi jamanii...panueni vifua vyenu kwafaida yenu na ya wapenzi wenu. kwakawaida watu wengi wenye vifua vipana ni wana mazoezi, ambao mishipa yao ya damu imepanuka na damu inapenya vizuriiii na kwa wingi jambo linalofanya hata kule kunako kusimama ngangari zaidi na mambo yanaenda freshssss.
Mie napenda mwembamba aisee, mnemne mwenye kifua nahisi tukiwa faragha inakuwa kama vita vile akuuu , napenda mwembamba wa kawaida
 
Back
Top Bottom