Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
pamoja na hoja yao kwamba CDM ilikiuka maaigizo, hawakupaswa kuua...walitakiwa wawakamate wahusika na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. Kuchukua jukumu la kuua au kuumiza bila sababu ni uhalifu kama uhalifu mwingine wowote ule. Naona polisi wanasahau hilo