Kama yupo, akinipiga pia ni dhihaka kubwa.
Maana nimeomba fedha na wala sio kupigwa
Sijajaribu bali nimeomba! Acha kunihukumu weweJiangalie sana! Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Alinijua hata kabla ya kuzaliwa kwangu na alizijua njia zangu zote.timiza ayatakayo yeye huyo MUNGU then OMBA
Sijajaribu bali nimeomba! Acha kunihukumu wewe
Mkuu mimi naomba uniombee kwa huyo mungu nikute kiasi cha sh millions 100 kwenye chumba changu kesho asubuhi ili niamini yupo.
Hivi ni mungu wangu au wenuwewe unamjaribu Mungu wako, bora umwombe msamaha tu. soma ulivyo andika hapo utaona umemjaribu na kumkejeri Mungu.
wewe unamjaribu Mungu wako, bora umwombe msamaha tu. soma ulivyo andika hapo utaona umemjaribu na kumkejeri Mungu.
Mungu amekupa akili, nguvu na fikra za kufanya kazi upate hela! unataka million 100 chumbani kwako...wapi na wapi mkuu?
Kumwamini huyo mungu pia ni kazi kubwa sana maana ili nimwamini napaswa kajitoa ufahamuMungu amekupa akili, nguvu na fikra za kufanya kazi upate hela! unataka million 100 chumbani kwako...wapi na wapi mkuu?
Kwangu mimi niliamini kutokana na imani potofu za kupokea.Mie nikijibu hilo swali tutaanza kubishana na lengo langu siyo hilo,maadamu kwamba wewe uliweza kuhoji hili suala la mungu pindi ulipokuwa basi ni wazi hata hayo mambo yenyewe kufanya watu waamini kuwepo kwa mungu ulikutana nayo na ukaona kuwa hayana uhusiano na kuwepo kwa mungu.
Kwa nini unataka nitoe hoja?Hivi we huwezi kutoa hoja zako mwenyewe bila ku C&P youtube?
Toa hoja zenye mashiko,unadai kuwa Mungu yupo
Sawa,Thibitisha kama yupo
Ndugu huna haja ya kumwombea apate matatizo. hayo aliyonayo yanamtosha. Hana utulivu wa moyo.Wewe unafikiri ni kwa nini anataka athibitishiwe uwepo wa Mungu?kiranga! sasa tufanye hivi niruhusu nikuombee upate matatizo makubwa wewe na familia yako, Hapo utathibitisha mwenyewe kuwa Mungu yupo au hayupo. Je unaniruhusu?
Lengo siyo kupata hizo milioni 100
Lengo nikuthibitisha kama kweli Mungu unayemsema yupo na anajibu maombi.
Huyu aliomba na alimjibu maombi yake. Itakupasa uipende YoutubeLengo siyo kupata hizo milioni 100
Lengo nikuthibitisha kama kweli Mungu unayemsema yupo na anajibu maombi.
Jitoe ufahamu kwa kusikiliza na kuangalia hiiKumwamini huyo mungu pia ni kazi kubwa sana maana ili nimwamini napaswa kajitoa ufahamu
Jitoe ufahamu kwa kusikiliza na kuangalia hii
0716 huwa naipenda sana.kwa hii mada ngoja nikodoe macho tu.