Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,041
- 1,375
Nimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba.
Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.
Mungu hana kitabu ameandika aina ya kifo cha mtu chini ya miaka 70. Watu wanakufa kutokana na aina ya maisha wanayo ishi, mazingira wanayoishi na imani za kishetani.
nimesikia
wanasema
imeandikwa kwenye biblia si mpango wa mungu binadam afe akiwa kijana..
ila ujue kuwa toka uumbaj umri wa kuish wa binadam kila miaka inavyopita kumbuka wana israel wa kipind cha biblia waliish had miaka zaid ya miatano wengine wakioa wakiwa
na miaka zaid ya mia.. lakin kipind cha yesu hali ilikuwa tofaut watu walikua wanafika kwenye hundred and somthimg ss hv hata wa 90 wakuhesabu ..
so nadhan bado nahis ni mpango wa mungu mtu akifa isipokuwa kama kifo chake kitakuwa na walakin ambao shetan kaweka mkono wake...