Wakati anauawa Prof Mahinda alikuwa Mbunge wa Morogoro kaskazini hakuwa tena Waziri wala Naibu Waziri.
Mtoto wake akihojiwa na Media alisema walipovamiwa Baba yake alikuwa na Bastola yenye risasi moja na alipoifyatua hakuwa na nyingine wakamuua na baadae wakapekuwa hati zake mbalimbali lakin hawakuondoka na kitu chochote wala kumjeruhi mtu yeyote. Waziri Mkuu wa wakati huo Mh. Fredrick Sumaye aliahidi kutafuta wauaji lakin hawakufanikiwa kuwapata. Mwingine alieuawa kwa style hii ni Advocate Kapinga wa hukohuko mbezi beach lakin huyu waliiba Prado lake likakutwa Tabata garage baada ya Mkapa kuamuru Polisi kusaka wahusika kabla hajazikwa.
Mtoto wake akihojiwa na Media alisema walipovamiwa Baba yake alikuwa na Bastola yenye risasi moja na alipoifyatua hakuwa na nyingine wakamuua na baadae wakapekuwa hati zake mbalimbali lakin hawakuondoka na kitu chochote wala kumjeruhi mtu yeyote. Waziri Mkuu wa wakati huo Mh. Fredrick Sumaye aliahidi kutafuta wauaji lakin hawakufanikiwa kuwapata. Mwingine alieuawa kwa style hii ni Advocate Kapinga wa hukohuko mbezi beach lakin huyu waliiba Prado lake likakutwa Tabata garage baada ya Mkapa kuamuru Polisi kusaka wahusika kabla hajazikwa.