Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Jamani hii hatari inasikitisha sana ...
FL1
The whole saga inasikitisha ndiyo, lakini, hili la uana-ndoa sijajua limehusishwa vipi na kesi hii tena?
Sehemu kibao za kujirusha ni nadra saaaaaaaaaana ukakuta wana-ndoa! Ukitaka dataz njoo "Corner Baa" au "Highway" na hata hapa petu "Zero" Pub Tegeta!
Tuachie Mahakama aka sheria ichukue nafasi yake.