Jiwe la Ukara
Member
- Jul 15, 2011
- 44
- 31
Tumwombee mbunge mteule wa Arumeru Mshariki Jeremiah Sumari apimzike kwa amani... Ukweli ni kwamba baada ya kifo chake lazima kiti kizibwe.. Kamnda JOSHUA SAMWELI NASARI anaweza kujipanga kutimiza ahadi yake. Agali matokeo ya NEC mwaka 2010.
ARUSHA | |||
WILAYA YA MERU | |||
ARUMERU MASHARIKI | |||
Candidate | Political Party | Number of Votes | Percentage Votes |
SUMARI JEREMIAH SOLOMON | CCM | 34,661 | 62.23 |
JOSHUA SAMWEL NASARI | CHADEMA | 19,123 | 34.33 |
JOHN YESAYA PALLANGYO | CUF | 265 | 0.48 |
LINDA PENIELI BANA | JAHAZI ASILIA | 176 | 0.32 |
FANUEL GABRIEL PALLANGYO | TLP | 88 | 0.16 |
CHARLES MOSES MSUYA | UPDP | 88 | 0.16 |
SPOILT VOTES | 1,297 | 2.33 | |
TOTALS | 55,698 | 100 | |
SOURCE: NEC