Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Waziri wa mambo ya nje, Bernard Membe amesema kuwa Rais Jakaya Kikwete amepatwa na mshtuko mkubwa kutokana na kifo cha aliyekuwa Rais wa Poland kilichotokea Urusi hivi karibuni kutokana na kuanguka kwa ndege aliyokuwa akisafiria.
Source: Majira
My intake
Hivi wana JF mnauchukuliaje huu mshtuko mkubwa alioupata mkuu wetu wa nchi unaweza
ukasaidia kumfanya aogope kupanda ndege, na kwa hiyo
ukapelekea kuokoa mamilioni ya fedha yaliyokuwa yanatumika kumsafirisha nje ya nchi
mara kwa mara pamoja na msururu wa viongozo wa serekali!
Source: Majira
My intake
Hivi wana JF mnauchukuliaje huu mshtuko mkubwa alioupata mkuu wetu wa nchi unaweza
ukasaidia kumfanya aogope kupanda ndege, na kwa hiyo
ukapelekea kuokoa mamilioni ya fedha yaliyokuwa yanatumika kumsafirisha nje ya nchi
mara kwa mara pamoja na msururu wa viongozo wa serekali!