NIMEJARIBU KUTAFAKARI KIFO HICHI NIMEPITA PICHA HALISI YA SIASA ZA TZ BAADHI NI:-
- Watanzania tuna siasa za chuki na za kulipana kisasi ,hii ni kutokana na tulivoiweka siasa maana unakuta uchaguzi mdogo mgombea mmoja bajeti anayotumia inakaribia mil 600,ukijiuliza kazitoa wapi?,atazilipaje? hupati jibu,Kutokea yaliyotokea inakuwa kitu cha kawaida maana anayeshindwa anayeruhiwa vibaya sana kiuchumi.
- VYAMA VYETU TUNAVYOVISHABIKIA VIKO KIMASLAHI ZAIDI HAVIJALI WATU WAKE:-Angalia Mwenyekiti amekufa chadema kama chadema wametuma tu wabunge wawili wamezika hakuna kinachoendelea,hatujasikia kama wameunda timu kuchunguza mauaji au kutoa onyo kwa serikali ,wako kimya,SASA VYAMA VYA SIASA KAMA CDM kuna umuhimu gani kushabikia.wakati viongozi hawa value watu.