Ndo hivyo tunasubiri tamko la cham, Mtazamo wangu CHADEMA tufanye maandamano makubwa mikoa yote kupinga uonevu na uuaji wa wanachama wetu, ni mtazamo wangu siyo wa chama
Hivi Jeshi la Polisi linafanya nini, Igunga watu walikufa ...kimya, Arumeru vivyo hivyo, Mwanza, Mbeya n.k, Police mnalinda nani au mnatuma na kutumwaaa????????????? ah!
Viongozi wa CHADEMA msaidie watanzania kwa kuwataka Police wawajibike! Kwann watu wanakufa kinyama! Polisi wanafanya kazi gani?
KWANINI WEZI WA NJIWA MBONA WANAKAMATWA NA KUSWEKA RUMANDE FASTA, inakuwaje binadamu kuuawa namna hii hata taarifa isitolewe au hata inapotakiwa basi ikawa ni kutoa ahadi ya kufuatilia huku polisi wakivuta siku mambo yapoe na kukaa kimya na ndiyo inakuwa mwisho wa mambo????
Kama Taifa kunahaja ya kuvalia njuga mauhi haya ya X kwa X huku polisi na vyombo vingine vya serikali vikikaa kimya!
Wanaharakati,,, tusaidie kupaza sauti twafa. Hii ndiyo amani watawala wanayo iimba? Kama ndivyo mbona ni baguzi? Tushindane kwa hoja.... Mauji haya yasipodhibitiwa yataanza na upande wa pili, tusifike huko!
Kama huna imani na Polisi unaweza kuweka wachunguzi huru. Huna sababu ya kulalamika. Na pia wengine tuesikia kuwa huyo jamaa akikopa halipi na ana madeni kibao, sijui ukweli ni upi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.