Nimeipenda hii. Na ningependa sasa wananchi waelewe hawana polisi wa usalama. wanapolisi majambazi wauaji. Ninakumbuka CUF miaka ya nyuma walilielewa hili na wakaanza kuwafundisha vijana mafunzo ya judo na kareti kukabiliana na haya majambazi yanayojiita polisi. Sasa ninaelewa ile mantiki ya kujifunza kujilinda wenyewe na kulinda wananchi dhidi ya haya majambazi wanaojiita polisi. MABWEPANDE wao kuanzia akina zombe hadi huyu wa Salenda bridge aliyemulimboka steven. Je tunahitaji nini tena kuthibitishiwa hakuna polisi??? Tujiandae kujihami wenyewe tuko peke yetu na polisi wa CC MABWEPANDE!!Police wengi wanavuta bangi, unategemea nini kuhusu usalama wa raia? Jeshi la police limejaa wavuta bangi!
Ni polisi wachache sana wanaofanya kazi kwa kufuata maadili ya kazi yao, wengi utawaona walivyo na hasira na raia hata kama mtu hana kosa/hatia yeyote.
Pamoja na hayo, kulikuwa na fujo gani hadi kuamua kutumia nguvu kiasi hicho? Tufike mahali tuanze kuhoji matumizi ya siraha kama mabomu ni nani anagharamia? Tufahamu nani ni nani, amefikaje hapo alipo?
Mzee Mwanakijiji sijui hawa wachumia tumbo wanaoteuliwa kwenye hizo tume wana kazi gani
Tume tume tume kila kitu wakati hakuna hata moja iliyotoa report yake au maamuzi yake yakatekelezwa au kufanyiwa kazi
Zote zinaishia kwenye makabati au kuwasafisha wahusika
Ni ulaji tuu wa pesa
Angalia hata ile ya mauaji ya songea ambayo kiongozi wa tume alikwishatoa hukumu hata kabla ya kufanya uchunguzi wake
Mi simo katika maneno ya police Mungu nisamehe kama nimeyasikia kwa bahati mbaya kwani halikuw kusudio langu kusikiliza uongo ule
Naombeni mnipe mfano mmoja tu ambapo mwananchi/wananchi wamefanyiwa unyama na hii serikali halafu maneno yakasaidia!! Mfano mmoja tu ambapo reasoning ili fanya kazi Tanzania!! Mimi sikumbuki kwa kweli, Hivyo wananchi wakiwa tayari kukamata mitutu ndio mnishtue.
Ina maana hujaona picha mkuu swali gani unauliza au sijakuelewa..marehemu alipigwa vibaya sana kabla hajapigwa bomu...Tumaini Makene amekiri kuwepo katika eneo la tukio. Kazungumzia kwa kirefu sana jinsi hali ilivokuwa hapo jana wakati wa vurugu. Na pia imezungumziwa kuwa marehemu kabla ya kusambazwa kwa mwili wake kwa silaha iliomfumua utumbo wote kuwa nje alipigwa sana.
Kuna mahala hadi kataja Maremu David aliomba msaada kwa jeshi la polisi huku akilalama kuwa anauwawa. Hii imenifanya nijiulize na kutaka kujua, hicho kipigo alichopata marehemu ilikuwa imesababishwa na Polisi mbele ya macho ya wanachi ama alichukuliwa kando?
Mungu ndiyo atawalipa kwa haya wanayofanya policcm
Ina maana hujaona picha mkuu swali gani unauliza au sijakuelewa..marehemu alipigwa vibaya sana kabla hajapigwa bomu...