Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Katiba iliyopo kwasasa inampa mamlaka makubwa sana Rais kuhusiana na uteuzi ninaamini nafasi kama hiyo isingekuwa na mamikono ya wanasiasa tusingekuwa tunashuhudia mauaji na vitendo vya kikatiri namna hii, Polisi wengi wanaumizwa na maagizo yanayotolewa na viongozi wao ambao kimsingi wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa. Kwa mfano kuna Polisi inasemekana kwenye ile Operation ya Morogoro aligomea kwenda kufanya ukatili kama alivyoagizwa mpaka huu mda inasemekana amewekwa pembeni akisubiri uhamisho wake.