Anasema mwangosi alitoka kusiko julikana na kumkumbatia ocd ndipo hicho kitu kizito kikamwangukia ma kumlipua.
Source: chagonja mwenyewe habari chanel10
Anasema mwangosi alitoka kusiko julikana na kumkumbatia ocd ndipo hicho kitu kizito kikamwangukia ma kumlipua.
Source: chagonja mwenyewe habari chanel10
Inabidi nitafute dili la tume na mie sasa. Hivi nahitaji kwalifikesheni gani?
Hv kumbe changonja nae ni mwepesi namna hii! Ina maana hajui kama watu wanapicha za kitu halisi kilichotokea kwenye field?
Hv kumbe changonja nae ni mwepesi namna hii! Ina maana hajui kama watu wanapicha za kitu halisi kilichotokea kwenye field?
They say a picture tells 1,000
words but when I see these all
I see is 3 words: 'THEY KILLED HIM'. Rip DM
Tume ni muhimu maana kila mtu anasema lake. Na picha inaweza kuku deceive wakati mwengine ingawa huongea maneno 1000