Kifo cha Mholanzi huko Serengeti na mwitikio wa mawaziri wawili...

Ipo kazi!!!!

Hivi hakuna harufu ya wafuasi wa aliyemwagiwa ugali wameamua kumwaga mboga kweli? Na wasiwasi na hasira za uchungu wa kutimuliwa kwenye ulaji wakati anajua njama zote za wizi wa wanyama wetu! Tuone mwisho wa sinema!
 
katika taarifa ya habari ya leo nimeshuhudia mawaziri wawili(yule wa mambo ya ndani na yule wa maliasili na utalii) wa JMT wakifika katika eneo la tukio.
sio muda mrefu tuliwahi kusikia mauaji ya kutisha mfano kiongozi wa chadema kuchinjwa na chainsaw,vijana wanne kunyongwa,zeru zeru kuuliwa kikatili na viungo vyake kunyofolewa.

swali;je mawaziri wanathamini wazungu kuliko watanzania?



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Hakuna kingine zaidi ya kulinda heshima ya nchi mbele ya wageni mbalibali wanaotembelea ili kuonyesha mnawajali ili pamoja na kutokea tukio hilo wazidi kuwaruhusu wananchi wao waje kutembelea Tanzania.
 
Mi nadhani kuna njama ili watalii wasije Tanzania.Hizi ni njama za makusudi kabisa ili Tanzania ionekane si salama kwa watalii,tumeshuhudia hivi karibuni jirani yetu akisema Tanzania sio salama kwani Zanzibar kuna vurugu na wakati huohuo ikumbukwe kwa muda mrefu waliwahadaa walimwengu kuwa Kilimanjaro iko Kenya. Serikali ifanye uchunguzi wa kina juu ya suala hili.

Hapa umenena....uchunguzi ufanywe vizuri.
 
Hivi hakuna harufu ya wafuasi wa aliyemwagiwa ugali wameamua kumwaga mboga kweli? Na wasiwasi na hasira za uchungu wa kutimuliwa kwenye ulaji wakati anajua njama zote za wizi wa wanyama wetu! Tuone mwisho wa sinema!

nimependa ujumbe wa avatar yako mkuu
 
katika taarifa ya habari ya leo nimeshuhudia mawaziri wawili(yule wa mambo ya ndani na yule wa maliasili na utalii) wa JMT wakifika katika eneo la tukio.
sio muda mrefu tuliwahi kusikia mauaji ya kutisha mfano kiongozi wa chadema kuchinjwa na chainsaw,vijana wanne kunyongwa,zeru zeru kuuliwa kikatili na viungo vyake kunyofolewa.

swali;je mawaziri wanathamini wazungu kuliko watanzania?



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Its real disappointing! Huo ni utumwa mwingine
 
Ritz umeongea point leo je naruhusiwa kukupakata?
 
Last edited by a moderator:
LIKE. Hii ni aibu ya taifa letu. Huyu ni mgeni wetu ambaye amekuja kutumia pesa zake ambazo tunazitafuta na kuzihitaji sana. Ni lazima tuhakikishe ulinzi na usalama wa wageni wetu.
Hakuna kingine zaidi ya kulinda heshima ya nchi mbele ya wageni mbalibali wanaotembelea ili kuonyesha mnawajali ili pamoja na kutokea tukio hilo wazidi kuwaruhusu wananchi wao waje kutembelea Tanzania.
 
LIKE. Hii ni aibu ya taifa letu. Huyu ni mgeni wetu ambaye amekuja kutumia pesa zake ambazo tunazitafuta na kuzihitaji sana. Ni lazima tuhakikishe ulinzi na usalama wa wageni wetu.

ulinzi na usalama kwa wageni!
Hivi ukienda uholanzi ukafia huko mambo yatakuwa hivi hivi au?
 
Hata mimi napinga sana kubabaikia westerners. Lakini kuhusu usalama wa watalii inabidi tusiongee kwa hisia bali kwa kufikiri. Uholanzi ni nchi inayoleta watalii wengi sana Tz, ndiyo maana KLM inakuja Tz nadhani daily, na inaanzia KIA. Tunahitaji ela za watalii kuliko misaada yao kwani hiyo ni business na ikikua tutapunguza kutembeza bakuli.

Sijaona ubaya kwa serikali kulipa uzito hilo suala la kifo (ingawa sijuhi details) kwani hakuna atakaye kubali kutumia ela yake kutalii sehemu ambayo si safe wakati nchi kibao zina vivutio na ziko safe.
 
katika haya mauaji ya aibu wa kulaumiwa ni serikali dhaifu, mahoteli ya mbugani yanalindwa na walinzi wenye fimbo na marungu, this is silly, wanawaza kugawana vitalu na kutorosha wanyama, these silly things happens only when the stupid leads the headless.
 
Mi nadhani kuna njama ili watalii wasije Tanzania.Hizi ni njama za makusudi kabisa ili Tanzania ionekane si salama kwa watalii,tumeshuhudia hivi karibuni jirani yetu akisema Tanzania sio salama kwani Zanzibar kuna vurugu na wakati huohuo ikumbukwe kwa muda mrefu waliwahadaa walimwengu kuwa Kilimanjaro iko Kenya. Serikali ifanye uchunguzi wa kina juu ya suala hili.

ni kazi ya intelgency wa nchi na nahisi we ni mmoja wao ila vita ni vita na wameanza na kuua vifaru ambao ni wanyama adimu kwetu kweli zaweza kuwa mkakati wa watu wanje au ndani
 
ni kazi ya intelgency wa nchi na nahisi we ni mmoja wao ila vita ni vita na wameanza na kuua vifaru ambao ni wanyama adimu kwetu kweli zaweza kuwa mkakati wa watu wanje au ndani

tutaonana wabay kama kuna ka ukweli wasisahau simba mwenda pole ndio mla nyama,tutawatafuna,sio kila siku jumapili kuna na alhamisi hivyo wajue sisi si wajinga wala vipofu kama wanavyowaza
 
Back
Top Bottom