kichwamaji
JF-Expert Member
- Dec 1, 2006
- 232
- 12
Mudhihir alipata ajali baada ya kulumbana na Zitto Kabwe. na chacha Wangwe amelumbana na chadema sana hivi karibuni kama mawazo amesababishiwa na mambo kadhaa wa kadhaa.
1. Hivi Mudhihir na Zitto "walilumbania" wapi? Mie nadhani aliyelumbana na Zitto ni Karamagi.
2. Kabla ya Chacha wangwe kufariki amelumbana na watu wengi, hata kwenye gesti alikolaa Dodoma, na wala hayakuwa masuala ya Chadema, bali ugomvi wa kawaida tu kama mnavyojua. lakini sidhani kama malumbano hayo ndiyo chanzo cha ajali na kifo chake.
3. Mtu yeyote aliyefuatilia michango ya Mgagagigikoko hapa, atajua anakotaka kutupeleka, anachekelea kifo hiki kwa sababu anataka kukitumia kwa maslahi anayojua....watu wanaomboleza yeye anakenua...