kama unaamini mungu ananguvu kuliko kila kitu na wewe ni muumini mzuri, basi sioni kwa vipi utaamini kuwa urogi ushinde nguvu za huyo mungu unaemuamini
logically mchawi atakuwa kamzidi nguvu mungu ndo maana urogi unakupata
hitimisho ni kuwa, umeleta dharau kwa mungu wako kuwa anaweza kuzidiwa nguvu na mchawi mmoja tu
*idea tu ya kuamini kuwa kuna wachawi inanshangaza sana