Mkuu mimi Regia niliwahi kukutana nae ana kwa ana na aliniambia hiki ninachokisema, Mungu amemwepusha na mengi ila nitakuwa wa mwisho KUTOAMINI kuwa hii ajali Mteketa hajahusikana wananchi wanachomaanisha hapa ni ushirikina unaominika kufanywa na Mh Mteketa! Imani yao kubwa ilikuwa kwamba mbunge wa jimbo ni marehemu regia! Inashangaza kwa kweli,ila kwa ujumla msafara mzima umefika salama salmini kwa mengine ni kwamba huku pia naona chadema wanakubalika sana
kaka bila udini haujapumua.
wewe ndiyo umepotea njia rudi kundini vua hilo gamba.Ustadhumepotea njia, rudi kundini
Yaaaani nilikuwa nime reserve hii umeniwahi..huyo ndo mpango mzima maana walikuwa na bifu WEWE UNAANDIKA UKIWA HAUKO FIELD! Mimi niko hapa ndani ya dk 5 zilizopita imebidi mh nyerere mb atumie busara za kiuongozi na kumwambia lwakatare kiongozi wa CDM ajaribu kuwanyamazisha vijana waliokuwa wakiimba kwenye viwanja hivi kuwa Mteketa mteketa... Mwanga wetu wajaribu kutulia ili wabunge wa ccm wasifedheheke wewe na kiwanga hiyo ni yako hapa haipo
Ustadhumepotea njia, rudi kundini
mlaaniwe wote mnaoongelea mambo ya ushirikina nasema mlaaniwe
sijawahi kukibaliana na MS hata siku moja lakini katika hili Ustaadh acha niungane na MS. Umepotea njia mkuu.
mlaaniwe wote mnaoongelea mambo ya ushirikina nasema mlaaniwe