Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Poleni wote mlioguswa na msiba huu.
Matatizo ya ufisadi ambao bwanake Ndolanga ni mmoja wao. Wanafikiri watakimbiza wagonjwa nje kumbe wakati huo inakuwa too late.
Amkeni Watanzania, tutengeneze hospitali zetu ili haya magonjwa yajulikane mapema na hivyo kuongeza uwezekano wa kutibiwa.
Lakini sisi Watanzania kazi zetu ni kuiba na kutoroshea pesa nje, kupeleka wagonjwa wetu nje huku maskini wanakufa na kurundikana kwenye hospitali zisizo na huduma.
Tunajifanya werevu kumbe ni wajinga tu.
Mkuu Engineer,
Hapa kidogo umekiuka maadili. Hapa tunaomboleza kifo cha mama yetu. Kama mumewe ni fisadi msimtuhumu huyu mama kuwa naye alikuwa fisadi. Source nyingi za fedha za wanaume haziwi disclosed kwa wake zao hasa zile ambazo hazina account katika sources za income kwa family. Akina mama wengi wamekuwa hivyo.
Kuhusu kutibia nje ni kwa uwezo wa mtu (individual). Sidhani kama ni serikali iligharimia matibabu yake. Hata leo mimi nikiugua nikapelekwa kutibia nje utasemaje. Itategemea uwezo wangu financially na wa ndugu pia, hata marafiki kwa kuwa wanapenda bado niishi. Kuna mwanangu nilimpeleka India 2005 kwa matibabu ya moyo na amepona kabisa, ni kwa sababu nilikuwa na uwezo wa kufanya hivyo. Fedha hizo sikuzipata kwa ufisadi bali ni juhudu zangu halali. Please, si vema kufanya hivi hasa pale ambapo ni kifo kama hiki. Thanks.
Pumzika kwa amani mama.
Saratani ya matiti inaua sana, ninawafikiria kina mama mamilioni ambao hawana uwezo wa kufika hospitali ya wilaya, achilia mbali Ocean Road.
Moja ya mikakati inayowafanya wenzetu waweze kufanikiwa katika vita dhidi ya gonjwa hili (na mengine mengi ya aina hii) ni kutazamwa mapema kama wana uvimbe na dalili nyingine, kansa hii inaweza kuzuilika kabisa kama ikigundulika mapema.
Naomba tufikirie kidogo kuhusu uwezekano wa kuongeza huduma za kupima mapema na kuliwahi gonjwa hili katika hatua ambazo linaweza kuzuiwa kuchukua maisha ya kina bibi, mama, dada na binti zetu.
Pumzika kwa amani mama.
Saratani ya matiti inaua sana, ninawafikiria kina mama mamilioni ambao hawana uwezo wa kufika hospitali ya wilaya, achilia mbali Ocean Road.
Moja ya mikakati inayowafanya wenzetu waweze kufanikiwa katika vita dhidi ya gonjwa hili (na mengine mengi ya aina hii) ni kutazamwa mapema kama wana uvimbe na dalili nyingine, kansa hii inaweza kuzuilika kabisa kama ikigundulika mapema.
Naomba tufikirie kidogo kuhusu uwezekano wa kuongeza huduma za kupima mapema na kuliwahi gonjwa hili katika hatua ambazo linaweza kuzuiwa kuchukua maisha ya kina bibi, mama, dada na binti zetu.
Kiranga,
Saratani za aina ambazo zinaweza kutibiwa kama zikigundulika mapema zinaua wote, wake kwa waume. Prostate cancer, kwa mfano, inaongoza kwa kuua baada ya lung cancer (ambayo nayo haichagui), halafu kuna colon cancer, brain tumors, na saratani nyingine nyingi ambazo hazina jinsia wala kabila. Sio tatizo la "kina bibi, mama, dada na binti zetu."
Habari zikiwa hazijanyooka kama hivyo zinaweza kupotosha, halafu wanaume, yani nusu ya wananchi, watasema, aaah, saratani ni za wanawake tu, na juhudi za kupambana hazitafikia potential yake.
Wafiwa poleni sana.
Mkuu Engineer,
Hapa kidogo umekiuka maadili. Hapa tunaomboleza kifo cha mama yetu. Kama mumewe ni fisadi msimtuhumu huyu mama kuwa naye alikuwa fisadi. Source nyingi za fedha za wanaume haziwi disclosed kwa wake zao hasa zile ambazo hazina account katika sources za income kwa family. Akina mama wengi wamekuwa hivyo.
Kuhusu kutibia nje ni kwa uwezo wa mtu (individual). Sidhani kama ni serikali iligharimia matibabu yake. Hata leo mimi nikiugua nikapelekwa kutibia nje utasemaje. Itategemea uwezo wangu financially na wa ndugu pia, hata marafiki kwa kuwa wanapenda bado niishi. Kuna mwanangu nilimpeleka India 2005 kwa matibabu ya moyo na amepona kabisa, ni kwa sababu nilikuwa na uwezo wa kufanya hivyo. Fedha hizo sikuzipata kwa ufisadi bali ni juhudu zangu halali. Please, si vema kufanya hivi hasa pale ambapo ni kifo kama hiki. Thanks.
Mkuu Engineer,
Hapa kidogo umekiuka maadili. Hapa tunaomboleza kifo cha mama yetu. Kama mumewe ni fisadi msimtuhumu huyu mama kuwa naye alikuwa fisadi. Source nyingi za fedha za wanaume haziwi disclosed kwa wake zao hasa zile ambazo hazina account katika sources za income kwa family. Akina mama wengi wamekuwa hivyo.
Kuhusu kutibia nje ni kwa uwezo wa mtu (individual). Sidhani kama ni serikali iligharimia matibabu yake. Hata leo mimi nikiugua nikapelekwa kutibia nje utasemaje. Itategemea uwezo wangu financially na wa ndugu pia, hata marafiki kwa kuwa wanapenda bado niishi. Kuna mwanangu nilimpeleka India 2005 kwa matibabu ya moyo na amepona kabisa, ni kwa sababu nilikuwa na uwezo wa kufanya hivyo. Fedha hizo sikuzipata kwa ufisadi bali ni juhudu zangu halali. Please, si vema kufanya hivi hasa pale ambapo ni kifo kama hiki. Thanks.
Habari inahusu saratani ya matiti, bandiko langu limelenga katika saratani ya matiti kwa sababu ndiyo ninayoielewa kuwa inagundulika mapema kirahisi na kuzuilika kirahisi.Sijawahi kusikia mwanamme mwenye saratani ya matiti ndiyo maana nikawataja watu wake tu.
Kama wewe una utaalamu mwingine wa kuweza kuainisha saratani nyingine ambazo zinaweza kutambulika mapema na kuzuilika kirahisi si vibaya kama ukizibainisha. Kwa uelewa wangu mdogo saratani ya ubongo kutambulika na kuzuilika kwake kiurahisi kamwe hakuwezi kulingana na saratani ya matiti. Ukiigundua mapema saratani ya matiti mabingwa wanafanya operesheni, au hata kukata titi, saratani ya ubongo kutokana na unyeti wa eneo inapokuwa operesheni yake si rahisi na huwezi kusema utakata kichwa. kwa hiyo upande wako wa kuzilundika saratani hizi zote pamoja umeonyesha ukosefu wa kufikiri.
Hongera kwa kujaribu, lakini katika kutaka niseme nisichokijua kuwa kweli, hususan kwa sababu hakina mantiki wewe mwenyewe ndiye unajionyesha kukosa umakini.
Ukweli utabaki kuwa ni ukweli na wala hakuna haja ya kuwa wanafiki. Kama tungepunguza ufisadi matibabu yangepatikana kirahisi sana Tanzania.
Muzee you have nailed it!
Sisi akina yakhe tukiugua, hii fursa ya kwenda angalau Muhimbili fasttrack haipo, hivyo KATU HATUTOACHA kusema tugawane haq bin haq KEKI YA TAIFA.
Hivi tumeshafanya tathmini kuwa huko India kunani cha ziada ambacho hapa tunashindwa kuwa nacho tukiamua?