Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Wakuu wa JF,
Nasikitika kutangaza kifo cha Mama Fatuma Ndolanga aliyekua mkewe former chairman wa FAT, Al-haj Muhidin Ndolanga, kilichotokea hospitali India.Marehemu alikua anapata matibabu ya breast cancer lakini Mungu alikua na mipango mengine.Amewaacha nyuma mume na watoto sita: Omari, Halima, Ahamad, Salum na Muhidin.
Mazishi yamefanyika leo mchana shambani kwake Picha ya Ndege, Kibaha.
The Lord Gives and the Lord takes.Blessed be his name.
Nasikitika kutangaza kifo cha Mama Fatuma Ndolanga aliyekua mkewe former chairman wa FAT, Al-haj Muhidin Ndolanga, kilichotokea hospitali India.Marehemu alikua anapata matibabu ya breast cancer lakini Mungu alikua na mipango mengine.Amewaacha nyuma mume na watoto sita: Omari, Halima, Ahamad, Salum na Muhidin.
Mazishi yamefanyika leo mchana shambani kwake Picha ya Ndege, Kibaha.
The Lord Gives and the Lord takes.Blessed be his name.