kifo cha Liumba

utu wangu

Member
May 10, 2008
52
3
waungwana wenzangu mlioko huko danganyika,naombeni ufafanuzi tafadhali..hizi tetesi za kufa kwa liumba wa BOT ni kweli?

Iam interested in facts not fiction
 
Pole ndugu yangu hii ndio bongo ukiuliza lazima uulizwe kwanza!!!!
 
Mseminari Amatus Liyumba Yuhai na buheri wa afya. Ninyi tu na roho zenu.
 
Mseminari Amatus Liyumba Yuhai na buheri wa afya. Ninyi tu na roho zenu.

Mmmmh!

hiyo tetesi ndugu yangu alinitishua(alinishitua).


sasa nilitaka kufikiri kuwa kifo kipo au kinaletwa na mazingira.

Mungu amjalie maisha mema na marefu kama alivyotuahidia sisi sote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom