Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

Januari 2005 nchini Isarel ‘walipata’ kiongozi mpya wa Freemasons, Chaim Henry Gehl, ambapo sherehe yao ilifanywa katika Hoteli ya Sheraton iliyopo Herzlia. Wageni walitokana Uingereza, Ujerumani, Uholanzi, Austria, Luxemborg, Romania, Italia, Bulgaria na China. Kiongozi huyo alikuwa akikabidhiwa madaraka kutoka kwa Sami Raphaeli, mhasibu mstaafu wa benki mstaafu wa hekalu la Caspi lenye namba 56 lililopo mjini Haifa. Huyu cheo chake cha utendaji mkubwa katika freemasons ni 33rd degree alichotunukiwa mwaka 2003. Naam katika kuselebuka huko ndipo wakajigamba kwamba mnamo Oktoba 9, 2004 kulifanywa sherehe ya kutimiza miaka 100 ya Freemasons katika eneo la afrika mashariki.

Hapa kwetu Tanzania haikusemwa sana, ingawaje Jayantilal Kashavji Chande , au Sir Andy Chande katika mahojiano yake na mwandishi wa Ernest C. Ambali(The Guardian, Oktoba 8, 2004) haikuelezwa mahali patakapofanyiwa sherehe hizo. Katika mahojiano yale Sir Andy Chande alieleza kuwa mgeni rasmi alikuwa Rais Benjamini Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa. Pia kulikuwapo na wafanyabiashara wakubwa, wanadiplomasia, mawaziri n.k

Sir Andy Chande akiwa nchini India katika mji wa Chennai kuzindia hekalu lao East Star alieleza kwamba ‘marais wawili wa kwanza wa Tanzania (hawakuwa freemasons) lakini walifahamu ni nini’. Je unahitaji akili gani kuwatambua marais wako? Unahitaji Mungu akuongezee ubongo gani ili utambue kuwa ni akina nani wanaozungumziwa? Ndiyo maana nasema tatizo siyo kasi uliyonayo bali kule uendako! Tukubaliane, kuwa kwa kiasi Fulani inajionyesha ikulu zetu zimezingirwa na Freemasons. Na katika mahojiano hayo hakusemwi ni Dar es Salaam eneo gani ambao sherehe hiyo ilifanywa, lakini katika kumsimika Chaim Henry Gehl (kule Israel)ilitajwa Hoteli ya Royal Palm ambapo wageni 350 walihudhuria. Katika miaka hii 100(108) ikaelezwa kuwa Freemasons walianza kujenga hekalu lao la kwanza la Harmony namba 3084 mwaka 1904 mjini Zanzibar. Katika uzinduzi wa jengo hilo Zanzibar inaelezwa Rais Theodore Roosecelt alikuwapo, Duke of York(ambaye baadaye alikuja kufahamika kama Mfalme George VI)na Duke of Connaugh na Strathean walikuwepo pia. Ukimsoma mwanahistoria Robert Muchembled(katika; A History of the Devil) ameorodhesha majina yenye kuabudiwa kwa ibada za kishetani lakini tunayathamini na kupofushwa nayo. Nami kwa matendo wanayoyatenda hapa duniani sina soni kusimamia hoja yangu kuwa ni ubatili mtupu waufanyao).

Naweka orodha ya mambo wanayojigamba Freemasons kujinasibu kwa miaka yao 100(108) ndani ya afrika mashariki huku wakibainisha kuwa makao makuu ya eneo zima ni barabara ya Nyerere, jijini Nairobi(soma;The Guardian, 0ktoba 8, 2004). Katika mahojiano hayo ndipo kukaorodheshwa ‘misaada ’(ibilisi?), eti Kindwitwi Leprosy Centre(Utete), Mama Theresa Home for the children, shule ya vipofu(Pongwe, jijini Tanga) , na Leprosy Projects (jijini Arusha). Montessori School (jijini Mwanza), Mnazi Mmoja Hospitali (iliyopo Zanzibar), Missionaries of Charity, shule ya walemavu (Buguruni, jijini Dar es salaam), wamejenga madarasa shule ya msingi Kinondoni(Dar es salaam) na kutoa pauni za Uingereza 15,000 mnamo mwaka 1996 katika ajali ya Mv Bukoba. Ukiangalia ‘misaada’ yao unapumbazika kuwa ni hisani ya hali juu Na tatizo kubwa linalotukabili, ni utegemezi ambao huzaa utumwa na kukengeuka akili zetu.

Tunaishi huru mitaani lakini tupo gerezani, tunakwenda kasi sana lakini hatuangalii tunakokwenda, hatutaki kujua nini hiki tunachosaidiwa? Ni mungu gani aliruhusu mashoga na wasagaji wasimame madhabauni/ altareni?

Naam ndivyo tunavyouvaa uovu, ndivyo yanakotakiwa Uganda Museven aliruhusu hali hiyo. Na wenyewe husingizia haki za kiraia au dini za kiraia, inaeleweka kuwa Marekani imejngwa na Freemasons kwani wanajieleza kwa mengi tu. Je nasi tuwe na akina Jack Straw wetu bungeni? Tuvuje jasho kwa kupitisha sheria za kuruhusu mashoga, wasagaji halafu tuseme mungu anaruhusu hayo?

VIGOGO WA FREEMASONS KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI NA AFRIKA KWA UJUMLA
]Sir.Andy Chande ajitokeza na kusema kuwa yeye ni mmoja wa freemason afrika mashariki.

Pia hakuwa nyuma kuwataja viongozi wanaohusika kwenye chama hicho akiwemo rais mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin Mkapa . Pia alimtaja Steven Kanumba, msanii nguli hapa Tanzania, Baba Riz raisi wa Tz, lowassa, AY, Mr. Blue, na wengineo wengi. Pia hakusita kumtaja yoweri museveni raisi wa uganda, Obama raisi wa marekani, George Bush, Bill Clinton, George washington, Elizabeth malkia wa uingereza na wengineo wengi. Sir.Andy Chande alitaja yeye kwenye chama hicho ni Grand District Master akiwa amebobea kwa miaka 18 iliyopita. Alipoulizwa makao yao makuu hapa Tanzania yapo wapi alijibu bila kusita "we are located at sokoine Drive behind kilimanjaro hotel here in Dar es salaam" (tunapatikana barabara ya sokoine nyuma ya hoteli ya kilimanjaro).
Pia Sir. Andy alisema wananyaraka zote za kumiliki jengo hilo toka serikalini. Aliongezea kuwa vikao vyao hufanyika kwa siri nyakati za usiku na mtu akishaingia kwenye chama hiko hatotoka tena.



Sourc

freebongo.blogspot.com/2012/03/vigogo-waasisi-wa-freemasons-nchini.html
 
actually sio kanumba tu,
takwimu zinasema 75% ya vifo bara la africa ni kutokana na kukosa huduma on time!
tafakarii chukua hatua.
 
Mpaka PF3 form, sijui kama kuna exceptions Ila kwa uelewa wangu ni hivyo.
Kibongobongo exceptions huwa zinakuwepo kwa ku'force lkn,nilishawahi ku'force huduma kwa Kaka yangu aliyapta ajali kisha wakati anaendela kupatiwa matibabu nikafata PF3
 
Hapa nimesikia mambo mapya,kwahiyo Lulu alitoka akikimbia nje kama alivyozaliwa(Uchi) na Mwendazake na yeye alikutwa room kaanguka chini kama alivyozaliwa(Uchi)? Enh?
 
Kwa wanaoitaj dawa za mitishamba kwa ajili ya nguvu za kiume..kuongeza hips na makalio shape.. Kurefusha uume..wasiliana na Dr Kalyundu 0743158800..
 
Masikini Lulu, japo lengo la sheria na mahakama ni kutenda haki, lakini sometimes, mahakama zetu, hazitendi haki, kwa sababu majaji nao ni binadamu tuu na sio malaika, hivyo wanaweza kabisa kutoa hukumu ambayo sio hukumu ya haki.

Hata kama kabinti kamenyimwa haki, then karma ipo na itamtendea haki.

Pole sana Lulu, na pole kwa wote mlioguswa na hukumu hii.

Paskali
 
Na huyo kibatara asijidanganye kukata rufaa maana wanaweza kurejea hukumu nzima na kuongeza mvua, maana hii kesi naifananisha sana na kesi ya OSCAR PRITORIOUS . Deffence yote ya kutunga ya Lulu ni sasa sawa na mashairi aliyoyataunga OCAR lakini mwisho wa siku mahakama haiangalii influence ya mtu kwenye jamaa zaidi inatenda haki. Miaka miwili ni midogo sana kwa kesi yenye kifungo cha juu cha maisha.
 
Masikini Lulu, japo lengo la sheria na mahakama ni kutenda haki, lakini sometimes, mahakama zetu, hazitendi haki, kwa sababu majaji nao ni binadamu tuu na sio malaika, hivyo wanaweza kabisa kutoa hukumu ambayo sio hukumu ya haki.

Hata kama kabinti kamenyimwa haki, then karma ipo na itamtendea haki.

Pole sana Lulu, na pole kwa wote mlioguswa na hukumu hii.

Paskali
Pascal, Hii hukumu tena mahakama imemhurumia sana
Lulu alijisahau sana
Alijua lililokuwa linamkabili mbele yake lakini hakuonyesha kujutia hakutoa ushirikiano
Alijikomaza haraka sana kwa kusema ukweli ni kosa la mzazi
Alipashwa kujiepusha na drama na familia ya Kanumba alipashwa awe na kiasi
 
Na huyo kibatara asijidanganye kukata rufaa maana wanaweza kurejea hukumu nzima na kuongeza mvua, maana hii kesi naifananisha sana na kesi ya OSCAR PRITORIOUS . Deffence yote ya kutunga ya Lulu ni sasa sawa na mashairi aliyoyataunga OCAR lakini mwisho wa siku mahakama haiangalii influence ya mtu kwenye jamaa zaidi inatenda haki. Miaka miwili ni midogo sana kwa kesi yenye kifungo cha juu cha maisha.
Pascal, Hii hukumu tena mahakama imemhurumia sana
Lulu alijisahau sana
Alijua lililokuwa linamkabili mbele yake lakini hakuonyesha kujutia hakutoa ushirikiano
Alijikomaza haraka sana kwa kusema ukweli ni kosa la mzazi
Alipashwa kujiepusha na drama na familia ya Kanumba alipashwa awe na kiasi
Avogadro na Pakawa, nakubaliana na nyinyi, kiukweli salama ya Lulu, ilikuwa ni to tell nothing but the truth, kitendo cha kumtungia uongo marehemu, hizo mvua mbili ni ndogo, ila angesema ukweli mwanzo mwisho na kuwa straight, kuanzia wazee wa baraza wange sympathize nae na kumuachia huru!, hakutakiwa kupindisha hata neon moja!.

Paskali
 
Avogadro na Pakawa, nakubaliana na nyinyi, kiukweli salama ya Lulu, ilikuwa ni to tell nothing but the truth, kitendo cha kumtungia uongo marehemu, hizo mvua mbili ni ndogo, ila angesema ukweli mwanzo mwisho na kuwa straight, kuanzia wazee wa baraza wange sympathize nae na kumuachia huru!, hakutakiwa kupindisha hata neon moja!.

Paskali
Well said!
Hukumu yake ime base kwenye tabia/kutokusema ukweli na mwenendo wake
Kukosa maadili kumemponza sana
Walezi sijui baba mlezi na wengine wengi walikuwa wanamjaza upumbavu
 
Well said!
Hukumu yake ime base kwenye tabia/kutokusema ukweli na mwenendo wake
Kukosa maadili kumemponza sana
Walezi sijui baba mlezi na wengine wengi walikuwa wanamjaza upumbavu
Kumbe bwana mdogo alikuwa anawapiga watu changa la macho kwenye maelezo yake
 
1. Mimi ni moja kati ya watu wanaopinga vitabu vitakatifu kutumika mahakamani during (oath kwa waristo au affirmation kwa waislam)

2. Imekwisha kuwa prudence kwenye mahakama anaposomewa shtaka na kusema si hata kama alihusika (during arraignment)

3. Shahidi ama mtuhumiwa kabla ya kutoa ushahidi wake huulizwa dini yake na kushikishwa vitabu hivyo kula viapo, mara nyingi ushahidi wowote huwa haunyooki asilimia mia moja hivyo lazima aongeze uongo ili story yake iendane na sheria na yamkini hata wanasheria wao huwaelekeza hivyo kabla ili washinde kesi. Kwa maana nyingine asilimia kubwa ya story tunazosoma kwenye desided cases na hadith za kutunga ili mtu ashinde kesi.

4. Kama basi huyo lulu andeeleza story ya ukweli aghalabu opinion za wazee wa baraza ambazo kwenye mahakama kuu hazina nguvu sana kama mahakama za mwanzo ingekuwa kali zaidi ya hiyo walioitoa na ninafikiri wakili wake KIBATALA atakuwa ana story yoote ilivyokuwa na sasa akamfundisha namana ya kusema uongo ili kukwepa mkono wa sheria ni kwa vile tu sheria hairuhusu (poffessional communication ) kati ya wakili na mteja wake kuwekwa wazi angefunguka watu wangeshangaa. Ukubwa ulimjia vibaya mrembo huyo na kwa wakati huo fedha anapata, kila akipita anaambiwa mrembo , mapedeshee mji mzima wakawa wanamtafuta kwa udi na uvumba . Sifa hizi zoote zilitosha kumfanya aamini kuwa anaweza kufanya lolote na isiwe kitu
 
Kwa wanaoitaj dawa za mitishamba kwa ajili ya nguvu za kiume..kuongeza hips na makalio shape.. Kurefusha uume..wasiliana na Dr Kalyundu 0743158800..
Natafuta dawa ya kuwafanya watu wa sisiemu wafanye mambo yanayompendeza MUNGU na sisi wanadamu wenzao.
 
Back
Top Bottom