Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
we are not joking and we are very very serious on this. on top of that It is sad to loose
such energetic young man ata very tender age, when we needed him badly.
Inawezekana ukatujaji hivyo, na ukawa sahihi kwa maoni yako.
Ila mtazamo wangu huwa siogopi kusema ukweli ili kukubaliana
na wengi wanaosupport uovu, bora niwe peke yake bora niwe
kwenye right track. Uovu ni uovu hata kama ni mimi nimefanya
madudu, nitakwambia nilichofanya ni madudu/sin.
The man has gone away at wrong time simply coz he was in a
wrong truck. This is what we call PREMATURE DEATH. yaani kifo
ktk umri usiostahili. Ingawa kuna watu wanasema eti muda wake
wa kufa ulifika, this is very very unscientific judgement.
Nakuomba ujitaabishe kidogo usome ktk mtandao sources za
premature death majibu yatakushangaza.
mambo haya yanapotokea yawe funzo kwa kizazi cha sasa na kijacho
You are talking loud but saying nothing!