Kifo cha gazeti la MwanaHalisi, Je wameshidwa kuliendesha?

Magazeti ya TZ ni kama Taifa Star, leo ikifanya vizuri tunashangilia ikikosa lawama, mleta hoja bado gazeti linadumu kama kawa na tunakamua nalo kilo mbaya.
 
Ni miezi na Miezi sasa tokea nisikie na kuona gazeti hili la mwanahalisi
Hili gazeti lilileta changamoto kwa jamii na kwa wanaJF kwa ujumla katika
habari zake.

Siku hizi hili gazeti limekuwa jalala sijui ni nini kimelipata

Je Mkurugezi Mkuu Kubenea ndo kalitupilia mbali ? maana nasikia bado yuko india anatanua


Nawasilisha

"the power of EL"
 
Ukute mtoa mada anaishi nje ya nchi, alizoea kusoka online edition, ambayo sometimes inachelewa kubandikwa, ndo sbb analalama. Mie nina nakala yake ya wiki hii.
 
kwanza gazeti lenyewe limekosa mvuto na habari zake nyingi ni za majungu na kuchafua watu tu.mwache atanue india,kazi kwao waliokuwa wanasoma gazeti lisilo makini.mtu makini husoma habari za waandishi makini.

sikiliza wewe sijui ni dada au kaka whatever.umetumwa na aliyekutuma
hakukuelekeza vizuri kwa kupeleka ujinga wako wewe na huyo Dr mwe
nye mtindio wa ubongo! Eti 'mtu makini husoma gazeti makini' sasa kwa
taarifa yako gazeti halijafa na bado linadunda kwa habari makini wale
hawana shobo wala kuremba,eti kaenda india,mnataka kujua alipo ili
kumvizia nakumuua?nyooooooooooo!hamumpati Kubenea wetu na
hawezi kulikimbia gazeti lile...Mwanahalisi hoyeeeeeeeee!!
 
nimependa sana mkuu ulivyomjibu.ni lazima muda huu
awe ameshakunywa sumu.hawa ndo walewale ambao
wanayutingishia viberiti huyu anafaa awe member wa U-TURN!
 
Sio kweli dada,umetumwa na umeipata fresh!gazeti lipo na
ubora ule ule
the number one in tanzania!
 
Watu wengine sijui hamjui cha kusema au mnasema msichokijua.

Umekuja na mada ya kifo cha gazeti la Mwanahalisi, eti halionekani mtaani!! Unaletewa vichwa vya nakala ya juzi, unauliza kama linapata wasomaji. Wewe ndio unapaswa kutupa hizo data za kushuka kwa wasomaji au la.

This is too low, when you make a case or an argument, come with something concrete to support it. Sio unatoa theory halafu unataka watu wakupe data za kuibeba mada yako. Watu wakicheka, mnaanza kujificha kwenye kichaka cha "JIBUNI HOJA MSITUKANE", hoja isiyo na ushahidi watu watajibu vipi?.

Kitu kingine cha kujua ni kwamba gazeti la Mwanahalisi sio gazeti la habari za kila siku. It is an investigative newspaper, usitegemee kila wiki liwe na habari zenye uzito ule ule. Kuna wakati watapata mambo makubwa, wakati mwingine ya wastani, yote kwa yote, kamwe tusidharau mchango wa mwanahalisi kwenye kufichua maovu na kutoa elimu ya uraia.
Pamoja na utetezi wa wadau wake(na mimi nilikuwa msomaji sana wa gazeti hili), sasa hive sio siri
, Mwanahalisi limekosa mvuto.

Mvuto uliokuwepo kwa habari motomoto za uchunguzi wa kina haupo tena, habari zilizoenea katika gazeti hili ni MAONI ya waandishi, maoni ambayo wakati mwingine ni potofu kulingana na uelewa wa mwandishi.

Mwanahalisi today is a shadow of it's original self, siyo Siri.
 
gazeti la mwanahalisi limepungua wasomaji na lipo wazi na hiyo haitak ubishi jaribu kufanza research ndogo tu kwa wauzaji wa magazeti watakupa jibu,kiukweli limepungua mvuto limekuwa gazet la chama na sio la taifa kazi yake kuwaandika vibaya watu anaoona wanaweza kutetemesha viongoz wake wa chama na wapinzani wa chama chake na sio taifa,KUBENEA kwaheri waachie RAIA MWEMA wafanze kazi ya TAIFA,Tulikuwa hatukujui wewe ni mtu wa namna gani?hata kumwagiwa tindikali ilikuwa sawa kabisa
 
Gazeti lipo mtaani na bado liko makini, ww kama ni M CCM una lako jambo tu. Maada yako haina mashiko
 
Peter hoja ya mleta mada ni kuwa Mwanahalisi ya sasa siyo Mwanahalisi ile tuliyo izoea na kutoa angalizo la kuelekea kaburini.

Kama hoja hiyo ni kweli, then hata kama circulation yao ni kubwa kiasi gani, down the drain it will go!.

Kwa Rai ilikuwaje?.

Pasco najua hukupata kulipenda kwa sababu lilimsema na kumweka mahali pake "rais wako" mtarajiwa.

Unafanya malinganisho kinzani. Sote tunajua RAI ilibadilisha upepo baada ya RA kulinunua lakini upako ule ule kina Jenerali walihamia nao kwenda Raia Mwema.

Sasa kama ni online survey mnafanya tayari imekupa picha kwa kuangalia kati ya wachangiaji wangapi kati ya 70 wanadhani Mwanahalisi bado lipo imara na wangapi wana mtazamo kama wa kwako..

Hii habari ya lipo mtaani mpaka jumamosi bila kusema awali walichapa nakala ngapi na sasa wanachapa nakala ngapi utakuwa unafanya siasa tu, na kwa msingi huo nchi yetu imebaki nyuma kwa sababu ya uvivu uvivu hasa wa kufikiri/kutafiti.
 
Ni miezi na Miezi sasa tokea nisikie na kuona gazeti hili la mwanahalisi
Hili gazeti lilileta changamoto kwa jamii na kwa wanaJF kwa ujumla katika
habari zake.

Siku hizi hili gazeti limekuwa jalala sijui ni nini kimelipata

Je Mkurugezi Mkuu Kubenea ndo kalitupilia mbali ? maana nasikia bado yuko india anatanua


Nawasilisha


Unajua we f*la mimi nilidhani unaandika mambo ya maana kumbe unaelezea michuki yako tu,embecille'!!
 
Hili ni tatizo la wanajf wenye upande, kwao ukweli ni ule tuu wanaoutaka wao kinyeme cha hapo utaambulia matusi!.

Nimewahi kufanya ukosoaji wa CCM kuwa imechokwa wana CCM humu wakavumilia na kujibu kistaarabu!.

Nimewahi kufanya ukosoaji wa CUF kuwa SUK inatekeleza ilani ya CCM hiyo ni safari ya kuzimu, japo walibisha ila ni kistaarabu!.

Nilipofanya ukosoaji wa CDM humu kuwa "hawajajipanga" chamoto nilikipata!, Niliambulia sio matusi tuu bali mitusi, lakini ujumbe ulifika na sasa ndio hao wanajipanga na njia ya Feri ni nyeupe kwao.


Vivyo hivyo ujumbe huu kuhusu Mwanahalisi umefika, wenye macho wameona, wenye masikio wamesikia!, only time will tell kwa wanashabikia kwa mapenzi upofu!.

Kabla sijakukutetea naomba utueleze Mbunge wa Arumeru ni nani? maana ulishatuambia hapa jamvini kwamba Sioyi ameshashinda na kinachosubiliwa ni yeye kuapishwa!!.......badala yake hapa namuona Bungeni Joshua Nassari je Arumreru ina wabunge wawili?
 
Ni miezi na Miezi sasa tokea nisikie na kuona gazeti hili la mwanahalisi
Hili gazeti lilileta changamoto kwa jamii na kwa wanaJF kwa ujumla katika
habari zake.

Siku hizi hili gazeti limekuwa jalala sijui ni nini kimelipata

Je Mkurugezi Mkuu Kubenea ndo kalitupilia mbali ? maana nasikia bado yuko india anatanua


Nawasilisha

Mama kuwa mvumilivu sana.

Mwanahalisi ni gazeti la makala la kila wiki. Nafikiri usikate tamaa kama kuna makala zimekuudhi basi wewe endelea tu ipo siku itaandikwa ile ambayo na wewe utaipenda.

Subra na kuvumiliana ni kitu bora sana hususan katika suala zima la uandishi wa makala.

 
Mama kuwa mvumilivu sana.

Mwanahalisi ni gazeti la makala la kila wiki. Nafikiri usikate tamaa kama kuna makala zimekuudhi basi wewe endelea tu ipo siku itaandikwa ile ambayo na wewe utaipenda.

Subra na kuvumiliana ni kitu bora sana hususan katika suala zima la uandishi wa makala.


Sheikh wangu haukuwepo hapa jamvini kwa kipindi fulani, huyo siyo Mama bali ni Alhaj Marelia Sugu.
 
Mama kuwa mvumilivu sana.

Mwanahalisi ni gazeti la makala la kila wiki. Nafikiri usikate tamaa kama kuna makala zimekuudhi basi wewe endelea tu ipo siku itaandikwa ile ambayo na wewe utaipenda.

Subra na kuvumiliana ni kitu bora sana hususan katika suala zima la uandishi wa makala.


Je katika makala za week hii umeona nukuu yoyote hapa JF? maana zamani ilikuwa unasikoa Mwanahalisi ni moto, mara mwanahalisi lafichua ufisadi

Je nini kimeikumba mwanahalisi?
 
Je linapata wasomaji?
Unafikiri usipo nunua wewe kwa ajili ya kununua magazeti ya udaku unadhani na wengine hawanunui?au mwanahalisi wamekuomba msaada uwasaidie kwa sababu ya kufilisika, tuweke wazi.Au kwa sababu hawajaandika habari za kanumba?ukitaka kitu ni lazima ujue sehemu kinapopatikana,sio wewe unataka bangi unaenda kuuliza polisi.Na ukitaka kujua uozo wa selikari za Kikwete na Mkapa soma Mwanahalisi.
 
Unafikiri usipo nunua wewe kwa ajili ya kununua magazeti ya udaku unadhani na wengine hawanunui?au mwanahalisi wamekuomba msaada uwasaidie kwa sababu ya kufilisika, tuweke wazi.Au kwa sababu hawajaandika habari za kanumba?ukitaka kitu ni lazima ujue sehemu kinapopatikana,sio wewe unataka bangi unaenda kuuliza polisi.Na ukitaka kujua uozo wa selikari za Kikwete na Mkapa soma Mwanahalisi.

Hivi kuna Radio yoyote hapa tanzania mida ya asubuhi wanalisoma hili gazeti?
 
Back
Top Bottom