Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Ok!...Ni hatari zaidi ya Unavyo dhani...!! There is a Killer...na kifo chake Kina husiana moja kwa moja na historia Yake...Historia Ina hukumu!! what ever is lakini Impact yake kwa jamii ni kubwa...kuanzia sasa!!

1.Itikadi za kijambazi zitawachota vijana wengi!!
2.Serikari isidharau!!

absolutely there is no doubt kwamba watu asilimia kubwa hufa kutokana na historia zao na hiyo does not ONLY apply kwa ballali bali kwa kila mtu ! Kama wewe ulikuwa mbwia unga, then thats your history, kama wewe unakamua jani, thats your history and so forth. but what is ballali's really history ?? (kwa wanaomjua tu )
 
All this scenerio is very interesting..... let time tik..tak.... and the hell will breakthrough and all will be open...! I have nothing more to say here but be a good obsever... im sure something lorgical and sensible is about to be reveled!! god bless our lovely Tz!!

My message to all Tanzanians special att: Viongozi na uongozi wa Kikwete Stop palyaing with Nguvu ya watu!!
 
THE BIBLE SAYS:MUNGU ALIMWMBIA KAINI YUKO WAPI NGUGU YAKO ABELI? TAZAMA DAMU YAKE INAKULILIA TOKA ARDHINI! TANGU WAKATI HUO KAINI ALILAANIWA KULIKO KIUMBE CHOCHOTE, NA TAZAMA SIKU ZAKE ZIKAWA ZA TABU!, MKO WAPI MLIOFANIKISHA KIFO CHA MTU HUYU, mmeua ili msiulizwe milkopeleka mabilioni ya epa? la hasha! damu yake mtu huyu inawalilia toka ardhini, na kamwe nawaambia siku zenu zitakuwa za taabu na ubatili mtupu
yawapasa sasa muombe toba ya kweli, na toba ya kweli ni kuyarudisha mabilioni yale, tokezeni hadharani ili mupate hukumu yenu sawa na matendo yenu enyi mafedhuli,

kwa kuwa kilio cha mayatima wanaokosa ada na mlo hakitwaacha muendelee kustarehe kwa mabilioni mlioficha huko nje

kwa kuwa kilio cha maskini wanaokufa kwa kukosa asprini katika mahospitali yasiyo na dawa, huku mkienda kutibiwa mafua india na ulaya kitakuwa kwenu siku zote

kwa kuwa kilio cha kina mama wanaojifungua barabarani kwa ajili ya ubovu wa barabara , wakati nyie mkitanua hakitaacha kamwe

hakuna mateso na rangi ambazo hamtaona, ENYI MAFEDHULI MNAOHUBIRI KUHUSU KUNYWA MAJI NANYI MKINYWA MVINYO
 
Ballali Alikuwa USA akaogopa kutoboa siri, hawa dada waje TZ kuja kutoboa siri? Hiki ni kiini macho kingine.

Labda hawa dada ni mashujaa kama Mwafrika wa Kike. Hata Mwafrika wa Kike alipoenda TZ, alishuka airport kimya kimya.

Wacha tuendelee kuwasubiri. Baadaye tutaambiwa wamezuiwa airport. Conspiracy theories zitaendelea tu.
 
Sitaki kuamini kama balali ameuwawa kwani alitibiwa muda mrefu kama ni kweli. Marekani sayansi ya afya ni ya hali ya juu wangejua ni sumu gani au mionzi gani au sababu gani na imeanza lini. Lakini kama ameuwawa ni poa na ni furaha yangu kwani mwisho wa wauza unga ni kuuana na mwisho wa mafisadi ni kuuana.

Balali ni mwizi na fisadi, Dada zake waache unafiki waende kutulia fedha zetu au wazirudishe ndipo waongee. Hakuna bomu wala hakuna siri kwani Balali alikuwa na muda mwingi sana kuongea.

Alipakia ndege akiwa mzima kwenda marekani akijua kabisa nini amekifanya.
Deloitt walipofanya ukaguzi wao ni yeye alikuwa gavanna mwanzoni mwa 2005. Kwanini alificha majibu ya ukaguzi wake ni kipi kigeni kati ya ule ukaguzi na huu wa young.

Dada za Balali nendeni mkalale na msiwachose watanzania masikini.

Jamani huyu jamaa ni mwizi, asinge fikishwa mahakamani, kwani fedha aliyomchotea kagoda ndio iliyomweka mwungana madarakani. Fedha ya meremeta ndio iliyonunua 5* ya mkapa na kale kaakaunt ka uswiss. sasa angesema nini????

Dada zake waseme zile nyumba japani fedha zake alizitoa wapi. Wataje account zake zote kabla hazijatajwa na wasaidizi wa bajeti yetu.

Wazomeeni hao sio wenzetu wameficha wezi na kula vya masikini hawatufai.
Tutakwenda ikulu wake kwa waume kudai mali zetu mabomu ya machozi wala ya moto hayatatudhuru, ole wako kikwete unayelinda na kuficha mafisadi kaburi lako litakuwa sehemu ya kizazi kijacho kucheza ngoma na kulaani.
 
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu peponi hayo masuala ya ufisadi yana muhusu yeye na mola wake
 
Nyama hatari,

Crap? That is your opinion, why can't you challenge these craps with your facts?

This thread is about conspiracy, if you don't believe in conspiracies then either you are in a wrong thread or you have to put your facts together and prove us wrong.

Calling other people children doesn't make you a grown-up.

You can learn a lot about the future by looking at the past, at least that is what intellectuals believe. What you call obscure material may hold a key to future inventions.

Rather than entertain such moronic conspiracy theories, you'd be better served if you just went to De Vol Funeral Home in Washington DC and demanded to see Balali's corpse. Couldn't be simpler than that really.
 
atazikwa katika strictly private mazishi, with just mkewe na wanawe na mwendesha sala, na mwili wake utachomwa moto na majibu yatatupwa baharini.

wakati mazishi yanaendelea, balali anakula mrija kwenye offshore beach na short pense na googles, na file linakabidhiwa kwa makachero watano wa chama na chama kinapumua uzuri.


kabla ya kudaiwa ushahidi, hizi ni conspiracy theorem tu kama heading inavyosema. ......

gaijin, I have to admit that aside from the "Daudi Kinyaga" theory (the mother of all Daudi Ballali death theories), this "consiracy theorem" of yours is probably one of the most imaginative out there so far. Apparently the only missing parts here are shady deals and money laundering activities by Yakuza and Chinese cartels in the Konoike Company and TAZARA corporation respectively. Other than that, its a truly water tight "consiracy theorem".
 
Wakuu mimi siamini kuwa Balali amekufa, kwa sababu:-

1. kwa wale msiojua ni kwamba katika mji wa State ya
Boston, habari za wagonjwa kulazwa hospitali na wagonjwa
kufariki wakiwa kwenye hospitali za State hiyo ni open to
the public, yaani unaweza kwa kupitia internent kupata info
za mgonjwa yoyote aliyelazwa au kufariki huko Boston,

2. Boston, ina wakazi wengi sana wa kutoka bongo, ambao pia
wengine wamebobea kwenye sekta ya Medicine kwenye hospital
za huko na tunawafahamu kwa karibu, sasa haiwezekani kuwa
wote hawajui kwamba Balali aliwahi kulazwa hospitali gani
huko!

3. Haiwezekani Balali ambaye mpaka magazeti ya Boston, kama
Globe ambayo yanajua kuwa huyu ni mtu of special interest
kwa taifa letu na kwa waa-Afrika wengi wanaoishi Boston,
afariki dunia wao wasijue kabisaa, lakini gazeti la
Tanzania Daima, likajua that is a big joke!

4. Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki
wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la
kwanza kusema hizi habari, now is this just another death
annoucemment, au?

5. Ni kwa nini wa-Tanzania kwa maelfu wanaoshi Boston,
hawajui Balali alipokuwa amelazwa au hata habari za msiba?
Angalau hata the big star Hashimu, the basketballer
angekuwa amejulishwa na wazungu somehow kuwa kuna mbongo
mwenzio hospital amelazwa au amekufa, lakini hata yeye
hajui na ni mwenyeji huko Boston!

Sasa kulikoni na hii habari?

--
Yona Maro is a freelance writer and online researcher based
Tanzania and frequently contributes to Tips and Topics. He
has published numerous articles in local and regional
publications on a wide range of topics, including
Business,Ict , Education, Arts, and Local events +255
784 360204
 
Wakuu mimi siamini kuwa Balali amekufa, kwa sababu:-

1. kwa wale msiojua ni kwamba katika mji wa State ya
Boston, habari za wagonjwa kulazwa hospitali na wagonjwa
kufariki wakiwa kwenye hospitali za State hiyo ni open to
the public, yaani unaweza kwa kupitia internent kupata info
za mgonjwa yoyote aliyelazwa au kufariki huko Boston,

2. Boston, ina wakazi wengi sana wa kutoka bongo, ambao pia
wengine wamebobea kwenye sekta ya Medicine kwenye hospital
za huko na tunawafahamu kwa karibu, sasa haiwezekani kuwa
wote hawajui kwamba Balali aliwahi kulazwa hospitali gani
huko!

3. Haiwezekani Balali ambaye mpaka magazeti ya Boston, kama
Globe ambayo yanajua kuwa huyu ni mtu of special interest
kwa taifa letu na kwa waa-Afrika wengi wanaoishi Boston,
afariki dunia wao wasijue kabisaa, lakini gazeti la
Tanzania Daima, likajua that is a big joke!

4. Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki
wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la
kwanza kusema hizi habari, now is this just another death
annoucemment, au?

5. Ni kwa nini wa-Tanzania kwa maelfu wanaoshi Boston,
hawajui Balali alipokuwa amelazwa au hata habari za msiba?
Angalau hata the big star Hashimu, the basketballer
angekuwa amejulishwa na wazungu somehow kuwa kuna mbongo
mwenzio hospital amelazwa au amekufa, lakini hata yeye
hajui na ni mwenyeji huko Boston!

Sasa kulikoni na hii habari?

--
Yona Maro is a freelance writer and online researcher based
Tanzania and frequently contributes to Tips and Topics. He
has published numerous articles in local and regional
publications on a wide range of topics, including
Business,Ict , Education, Arts, and Local events +255
784 360204

Tanzania Daima ni ya nani?
 
Somebody please shoot me!!

Wakuu mimi siamini kuwa Balali amekufa, kwa sababu:-

1. kwa wale msiojua ni kwamba katika mji wa State ya
Boston, habari za wagonjwa kulazwa hospitali na wagonjwa
kufariki wakiwa kwenye hospitali za State hiyo ni open to
the public, yaani unaweza kwa kupitia internent kupata info
za mgonjwa yoyote aliyelazwa au kufariki huko Boston,

Kwanza, hakuna State ya Boston; pili chanzo cha kauli zake mbili ni yale aliyoyasema Mushi jana hapa. So kama hujui Boston siyo State... tutakuta na matatizo.

2. Boston, ina wakazi wengi sana wa kutoka bongo, ambao pia
wengine wamebobea kwenye sekta ya Medicine kwenye hospital
za huko na tunawafahamu kwa karibu, sasa haiwezekani kuwa
wote hawajui kwamba Balali aliwahi kulazwa hospitali gani
huko!

Ndiyo nyinyi mkifika marekani ukimuona mtu mweusi unafikiri anatoka Tanzania unamsogelea usikie accent yake. Ni sawa na na mtu anayesema anatoka Dar halafu unamuliiza "Unamfahamu Juma Haji"? Akisema hamfahamu unashangaa itawezekana vipi wakati wote wanaishi mji mmoja?


3. Haiwezekani Balali ambaye mpaka magazeti ya Boston, kama
Globe ambayo yanajua kuwa huyu ni mtu of special interest
kwa taifa letu na kwa waa-Afrika wengi wanaoishi Boston,
afariki dunia wao wasijue kabisaa, lakini gazeti la
Tanzania Daima, likajua that is a big joke!

Amejuaje kuwa Boston Globe give a rat about a governor of a central bank whose capital probably ni kama bank roll ya red sox au patriots! Ujiko mwingine unaishia Kipawa!
4. Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki
wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la
kwanza kusema hizi habari
, now is this just another death
annoucemment, au?

No sir, JamiiForums ndiyo ilikuwa ya kwanza kuleta habari hizi siyo magazeti, na wengine tunaandikia Tanzania Daima na yawezekana ndiyo source ya info za TD; did you think about that?

5. Ni kwa nini wa-Tanzania kwa maelfu wanaoshi Boston,
hawajui Balali alipokuwa amelazwa au hata habari za msiba?
Angalau hata the big star Hashimu, the basketballer
angekuwa amejulishwa na wazungu somehow kuwa kuna mbongo
mwenzio hospital amelazwa au amekufa, lakini hata yeye
hajui na ni mwenyeji huko Boston!

Kama serikali iliyomuajiri, kumsafirissha, kumlipia tiba na kwenda kumuangalia akiwa kitandani haijui ataweza kujua Da' Chiku? (mfano tu wa watu wa Boston)


Asante Lunyungu kwa kutusaidia kuona jinsi gani kujenga hoja kunahitaji ufundi kidogo. Halafu hii ingeunganishwa na ile ya Gigo's Father ....
 
Lunyungu,

Mbona unaleta habari ya mkuu FMES bila kuomba idhini yake?

Hayo maneno yaliandikwa na FMES na sio huyo bwanamdogo mwingine.
 
Lunyungu,

Mbona unaleta habari ya mkuu FMES bila kuomba idhini yake?

Hayo maneno yaliandikwa na FMES na sio huyo bwanamdogo mwingine.
Mbaya zaidi katumia sahihi ya Shy, kama vile ni shy alieandika.. Hata ule mstari unaotenganisha sahihi na bandiko unamsuta
 
Last edited:
Watu walitaka mpaka Hashimu Thabiti ajue Balali kafa ndiyo wamini eeeh!
 
Naomba msamaha sana wakuu kama hoja hii iko hapa .Leo tangia kumekucha sijapitia hapa hii mail imeletwa kwangu kwa njia ya ku forward .Kuangalia nakuta ni shy ndiyo maana nikaja nayo hapa .

Mkuu Mwafrika Mke nisamehe sana Mkuu wangu.
Huyu mtoto mimi sina uhusiano naye maana naona kuna swali hapa ila nineipata mail yake nikaona nlete hapa.Haya ndiyo anayo yaeneza huku pembeni.

Hata Kenya hajawahi kufika leo anaongelea habari za US .Jamani njaa zingine hizi .Yaani nasema kama uchambuzi ndiyo huu basi mimi sitakaa nikataka kuwa mchambuzi tena .
 
Back
Top Bottom