Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,854
Ungekuwa na ushahidi ingekuwa poa sana.Lipumba anatumiwa na CHADEMA Kwa taarifa yenu.
Anaiua CUF CHADEMA inabaki kuwa Chama kikuu
Watu wanahisi ni CCM inaivuruga CUF wakati sio ni changa la Macho mnachezewa
Siasa za Mbowe kuweni makini nazo
Wenu
Ethos