Kifo cha Askofu Mayalla

Mutekanga

Member
Aug 26, 2007
34
3
Askofu Mayalla, ameaga dunia. Mazishi yake ni Jumatano. Tunasikitika kumpoteza. ingawa wengine wanafurahi maana wamesubiri kiti chake kwa hamu kubwa.

Tunaomba kanisa lisifanye makosa ya kumpatia Kiti hicho, Askofu Severine NiweMugizi wa jimbo katoliki la Rulenge-Ngara. Kuna sababu nyingi za kumzuia Askofu huyu kuwa Askofu Mkuu. Sababu nyingi na za msingi tulizieleza wakati wa kumsaka Askofu mkuu wa jimbo la Tabora. Mengi halijitokeza hadi mtoto wake Mkunde wa kule Maji ya chai Arusha.

Sababu mpya ni ile ya ukabila. Wakati wa uchaguzi mdogo wa Biharamulo, Askofu Severine, alihubiri makanisani na kuwashawishi watu wasimchangue Mkukasa, kwa vile si mzaliwa wa Biharamulo. Ukabila kama huo, hauwezi kumruhusu kwenda Mwanza, ambako hakuna wasubi. Kule ni Wasukuma, wakelewe, wajita na mchanganyiko wa makabila mengine mengi.

Ujumbe huu ni wa watu wa Mwanza na watanzania wenye nia njema, kumkataa kwa nguvu zote Askofu Severine Niwemugizi. Ni bora dunia yote ikafahamu kwamba Askofu huyu ni mkabila.

Mungu, amlaze mahali pema Askofu Mayala!
 
kaazi kweli kweli, kumbe ni kweli ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, yaani tulikuwa tunajua ubaguzi wa kidini tu, kumbe nae kiongozi wa dini anawabagua wenzie kwa ukabila japo wapo dini moja, nadhani hata kama ni kabila moja hatakubagua kwa koo
 
Mutekanga, umeleta hoja lakini hukuileta vizuri! Umeshaonyesha jinsi gani unavyompinga Niwemugizi na hoja yako ni kututaka kutupeleka kwenye kumpinga niwemugizi. Lakini nafikirii hii forum haitosaidia sana, ingawa kwa wewe umeshatoa frustration zako. Jimbo la Mwanza lina wenyewe na hata wa kulitawala wanajulikana. Labda kama unampigia debe Niwemugizi kwa jinsi hiyo. Au labda unataka kusema sasa unataka askofu mkuu atoke jimbo la Rulenge au Bukoba. Kwahiyo unataka na wa Musoma waanze kumtaja mtu wao, vile vile na wa Geita, Shinyanga etc. Nafikiri approach yako siyo sahihi na hata sentensi yako ya kwanza kwamba kuna watu wamesubiri kiti hicho kwa hamu kubwa bado siyo sahihi. Kwanza Askofu hakuwa mgonjwa kusema watu walisubiri afe. Amekufa ghafla. Hakuwa mzee wa kusema ukilinganisha na umri wa maaskofu wengi wa kanisa katoliki la Roma na angeweza kuendelea kuongoza jimbo hata akiwa na umri wa miaka 75 au hata 80. Kwahiyo huyo mtu aliyekuwa anatamani hicho kiti angeendelea kumsubiri tu. Au labda useme yeye ndio kamuua.
Lakini mchakato wa uchaguzi wa askofu kwa wakatoliki unajulikana. Mchakato utaanza na askofu atajulikana. Na wana jimbo la Mwanza wanamjua atakayekuwa askofu wao na wanamzungumza
 
Askofu Mayalla, ameaga dunia. Mazishi yake ni Jumatano. Tunasikitika kumpoteza. ingawa wengine wanafurahi maana wamesubiri kiti chake kwa hamu kubwa.

Tunaomba kanisa lisifanye makosa ya kumpatia Kiti hicho, Askofu Severine NiweMugizi wa jimbo katoliki la Rulenge-Ngara. Kuna sababu nyingi za kumzuia Askofu huyu kuwa Askofu Mkuu. Sababu nyingi na za msingi tulizieleza wakati wa kumsaka Askofu mkuu wa jimbo la Tabora. Mengi halijitokeza hadi mtoto wake Mkunde wa kule Maji ya chai Arusha.

Sababu mpya ni ile ya ukabila. Wakati wa uchaguzi mdogo wa Biharamulo, Askofu Severine, alihubiri makanisani na kuwashawishi watu wasimchangue Mkukasa, kwa vile si mzaliwa wa Biharamulo. Ukabila kama huo, hauwezi kumruhusu kwenda Mwanza, ambako hakuna wasubi. Kule ni Wasukuma, wakelewe, wajita na mchanganyiko wa makabila mengine mengi.

Ujumbe huu ni wa watu wa Mwanza na watanzania wenye nia njema, kumkataa kwa nguvu zote Askofu Severine Niwemugizi. Ni bora dunia yote ikafahamu kwamba Askofu huyu ni mkabila.

Mungu, amlaze mahali pema Askofu Mayala!

Bwana mkubwa mbona hii thread yako imejaa utata na uchochezi vile. Kwani kuna ubaya gani askofu kusema ukweli kuwa Oskar Mukassa si raia?? Ni kweli Oskar Mukassa si raia, ninamfahamu sana!!!! Na anapenda sana kujisifia kuwa ni mganda!!! Nilishangaa mno siku ile kiongozi wa uchaguzi aliposema eti kuwa madai ya uraia ni fitina!!! Kweli Tz tumekwisha!!!

Oskar aje hapa atueleze kama yeye na wazazi wake wameshaukana uraia wa Uganda!!!! Kama walishaukana na kuomba uraia Tz basi nitanyamaza kimya. Oskar unanisikia??
 
Unafahamu mchakato ambao Kanisa Katoliki hufuata ili kumpata Askofu Mkuu?


Nafikiri hafahamu.It will take time kumpata askofu pale hasa ukizingatia kuwa alikufa ghafla na hawakuwa na clue!!! The process itself balaaaa. Mleta mada aulize aambiwe!
 
Askofu Mayalla, ameaga dunia. Mazishi yake ni Jumatano. Tunasikitika kumpoteza. ingawa wengine wanafurahi maana wamesubiri kiti chake kwa hamu kubwa.

Tunaomba kanisa lisifanye makosa ya kumpatia Kiti hicho, Askofu Severine NiweMugizi wa jimbo katoliki la Rulenge-Ngara. Kuna sababu nyingi za kumzuia Askofu huyu kuwa Askofu Mkuu. Sababu nyingi na za msingi tulizieleza wakati wa kumsaka Askofu mkuu wa jimbo la Tabora. Mengi halijitokeza hadi mtoto wake Mkunde wa kule Maji ya chai Arusha.

Sababu mpya ni ile ya ukabila. Wakati wa uchaguzi mdogo wa Biharamulo, Askofu Severine, alihubiri makanisani na kuwashawishi watu wasimchangue Mkukasa, kwa vile si mzaliwa wa Biharamulo. Ukabila kama huo, hauwezi kumruhusu kwenda Mwanza, ambako hakuna wasubi. Kule ni Wasukuma, wakelewe, wajita na mchanganyiko wa makabila mengine mengi.

Ujumbe huu ni wa watu wa Mwanza na watanzania wenye nia njema, kumkataa kwa nguvu zote Askofu Severine Niwemugizi. Ni bora dunia yote ikafahamu kwamba Askofu huyu ni mkabila.

Mungu, amlaze mahali pema Askofu Mayala!
Hii mesage yako imeniacha mdomo wazi. Ninavyojua ni kuwa uchaguzi wa askofu anaufanya papa na sio mtu mwingine. Inawezekana baadhi ya wakuu wa kanisa kutoa recommendation ila decision ya mwisho ni ya papa mwenyewe.
Tukumbuke pia, ni wajibu wetu kuomba mapenzi ya mungu yatimizwe na sio mapenzi ya binadamu. Mi naona ungelitendea vema kanisa kama ungehamasisha watu tuliombee lipate viongozi bora.
Kama kweli kuna watu walikuwa wananyemelea kiti chake basi ninajiuliza kuna biashara gani kwenye kanisa badala ya kutoa huduma?Au kuna waliokuwa wanabebwa na marehemu wanaogopa kupoteza maslahi yao?
Kwangu mimi, naiombea roho ya marehemu Askofu Mayala mipumzike vema peponi. Haya mengine ya nani atakuwa nani, naomba mungu ayashughulikie maana najua sitaulizwa na yeyote opinion yangu.
 
Nafikiri hafahamu.It will take time kumpata askofu pale hasa ukizingatia kuwa alikufa ghafla na hawakuwa na clue!!! The process itself balaaaa. Mleta mada aulize aambiwe!
Pengine aliyetoa mada ana analolificha maana sijamuelewa kabisa. au kuna makundi yaliyopoteza maslahi kwa kifo cha Askofu nini? Au ndo kumpigia debe kiaina huyo askofu anayemtaja?
Lakini Askofu mkuu sio lazima toke mwanza.anaweza kutoka popote. Askofu Mgulunde alikuwa mtu wa Iringa akahamishiwa Tabora, Yule Mwalunyungu alikuwa Tunduru Masasi ingawa ni mhehe na list goes on.Mi sioni anachokiogopa nini?
 
kimsingi ni hivi!
mchakato huwa ni mrefu sana, kuna mapendekezo ambyo huwa yanatoka kwa maaskofu then yanakwenda vatikani kwa papa.lakini papa ndo msemaji wa mwisho.
alichokisema huyu jamaa kina ukweli flani ila sema kakosea namna ya kukiweka.kuna mapadre wenye uchu na kupata uaskofu tena sana. mi nakumbuka wakati niko seminari kulikuwa na mapadre wanapiga jaramba ya namna ya kutembea na fimbo wakai wa mchakato wa kumpata askofu wa jimbo la geita. papa aliwaacha midomo wazi akateua mwingine kabisa DAmian dennis dallu, akiwa na miaka 42 tu. kwa jimbo la mwamza toa nihame nchini kulikwa na mapadre wenye sifa wachache kama vile pd Bilingi. kuna wengine waliingia wito wa upader kama kimbilio la wakosefu na hawa ndo huwa wasumbufu sana
 
Kama hizi ndizo infighting za kanisani bora hata mie ninayetumia Jumapili zangu kusoma magazeti na kuangalia TV, walks around the hood etc kuliko kwenda kanisani.

Kanisani kunakuwa na infighting utafikiri uongozi wa Yanga? Hata uongozi wa Yanga afadhali.
 
Tusimpinge sana mtoa hoja kwani mambo hayako wazi sana, uovu upo hata kanisani. Kuwa askofu hakumaanishi kuwa huyu ni mcha mungu sana. Naye hana ubinadamu wake, ambao waliokaribu kama mtoa hoja wameona. Huyu askofu amekuwa akilalamikiwa sana siku nyingi. Tujitahadhari.
 
Wakuu JF haihusiani kabisa na uteuzi wa askofu Mkuu Mwanza, Kanisa katoliki lina autonomy yake ya kupata viongozi wake. Mnajaza thread tu hapa sijui askofu wa Rulenge hafai mnajichosha tu....Papa anaweza teuwa padri wa Tunduru kuwa askofu. Sijui mtaandamana.....
 
Mnanishangaza! Kana kwamba mnaishi mwezini? Hakuna cha roho mtakatifu wala Papa. Uchaguzi wa maaskofu ni siasa kama siasa za kawaida. Ni kweli kwamba Askofu Mayala, alikuwa mgonjwa siku nyingi.Watu wamekuwa wakiiangalia kiti chake kwa hamu. Mbona hili ni jambo la kawaida? Hata kule Geita, yule Askofu, alichaguliwa kwa vila alikuwa na ujamaa na Mgurunde.Ukweli ndo huo!

Askofu Severine Niwemugizi, amekuwa kisubiri kuwa Askofu Mkuu na pengine Papa. Huyu ni mtu mwenye tamaa na uchu wa madaraka. Mtashanga kusikia anateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Mwanza. Kama mnafikilia Msonganzila, mmeotea njia. Labda angekuwa Balina, ila na yeye anaumwa! Ukweli ndo huo. Kwanini wasiumwe? Wanaishi dunia hii na maisha yao ni sawa na ya kwetu!
 
Mnanishangaza! Kana kwamba mnaishi mwezini? Hakuna cha roho mtakatifu wala Papa. Uchaguzi wa maaskofu ni siasa kama siasa za kawaida. Ni kweli kwamba Askofu Mayala, alikuwa mgonjwa siku nyingi.Watu wamekuwa wakiiangalia kiti chake kwa hamu. Mbona hili ni jambo la kawaida? Hata kule Geita, yule Askofu, alichaguliwa kwa vila alikuwa na ujamaa na Mgurunde.Ukweli ndo huo!

Askofu Severine Niwemugizi, amekuwa kisubiri kuwa Askofu Mkuu na pengine Papa. Huyu ni mtu mwenye tamaa na uchu wa madaraka. Mtashanga kusikia anateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Mwanza. Kama mnafikilia Msonganzila, mmeotea njia. Labda angekuwa Balina, ila na yeye anaumwa! Ukweli ndo huo. Kwanini wasiumwe? Wanaishi dunia hii na maisha yao ni sawa na ya kwetu!

Acha ulongo na pumba hapa wewe...!
 
Mutekanga,

Hili jina limekaa ki Karagwe karagwe, Je wewe ni Padri Karugendo? Kama siyo lazima mnacommunicate believe me or not?

Anyway, nikuunge mkono, kwamba kama yaliyosemwa nyuma na Karugendo ni ya kweli basi Niwemugizi hastahili hata huko aliko!
 
Askofu Mayalla, ameaga dunia. Mazishi yake ni Jumatano. Tunasikitika kumpoteza. ingawa wengine wanafurahi maana wamesubiri kiti chake kwa hamu kubwa.

Tunaomba kanisa lisifanye makosa ya kumpatia Kiti hicho, Askofu Severine NiweMugizi wa jimbo katoliki la Rulenge-Ngara. Kuna sababu nyingi za kumzuia Askofu huyu kuwa Askofu Mkuu. Sababu nyingi na za msingi tulizieleza wakati wa kumsaka Askofu mkuu wa jimbo la Tabora. Mengi halijitokeza hadi mtoto wake Mkunde wa kule Maji ya chai Arusha.

Sababu mpya ni ile ya ukabila. Wakati wa uchaguzi mdogo wa Biharamulo, Askofu Severine, alihubiri makanisani na kuwashawishi watu wasimchangue Mkukasa, kwa vile si mzaliwa wa Biharamulo. Ukabila kama huo, hauwezi kumruhusu kwenda Mwanza, ambako hakuna wasubi. Kule ni Wasukuma, wakelewe, wajita na mchanganyiko wa makabila mengine mengi.

Ujumbe huu ni wa watu wa Mwanza na watanzania wenye nia njema, kumkataa kwa nguvu zote Askofu Severine Niwemugizi. Ni bora dunia yote ikafahamu kwamba Askofu huyu ni mkabila.

Mungu, amlaze mahali pema Askofu Mayala!


Una post 13 tu mkubwa lakini mambo yako ni makubwa .
Niwemugize naweza kumpinga kuwa Askfu wa jimbo kwa sababu zingine lakini si Mukasa , wewe labda na CCM wenzako mliumia .Hata hivyo Askofu hachaguliwi na JF , andika kwa Pengo ambaye naamini hatakuelewa na hasa akiwepo Kilaini, then kwa Mjumbe wa Pope pale Dar .
 
Mutekanga,

Hili jina limekaa ki Karagwe karagwe, Je wewe ni Padri Karugendo? Kama siyo lazima mnacommunicate believe me or not?

Anyway, nikuunge mkono, kwamba kama yaliyosemwa nyuma na Karugendo ni ya kweli basi Niwemugizi hastahili hata huko aliko!


Pole pole MC. Ni kweli chuki anazoonyesha Mute zinashabihiana sana na chuki anazoonyesha Privatus Karugendo kwa askofu Niwegumizi.

Mmmhh! Kazi kweli kweli.

NB: Sijaribu kuingilia vita ya huko Kagera. Mimi kwetu nyumbi i bombi i.
 
kimsingi ni hivi!
mchakato huwa ni mrefu sana, kuna mapendekezo ambyo huwa yanatoka kwa maaskofu then yanakwenda vatikani kwa papa.lakini papa ndo msemaji wa mwisho.
alichokisema huyu jamaa kina ukweli flani ila sema kakosea namna ya kukiweka.kuna mapadre wenye uchu na kupata uaskofu tena sana. mi nakumbuka wakati niko seminari kulikuwa na mapadre wanapiga jaramba ya namna ya kutembea na fimbo wakai wa mchakato wa kumpata askofu wa jimbo la geita. papa aliwaacha midomo wazi akateua mwingine kabisa DAmian dennis dallu, akiwa na miaka 42 tu. kwa jimbo la mwamza toa nihame nchini kulikwa na mapadre wenye sifa wachache kama vile pd Bilingi. kuna wengine waliingia wito wa upader kama kimbilio la wakosefu na hawa ndo huwa wasumbufu sana
Unamuweka wapi Fr. Nkwande huyu jamaa anafaa sana na alikuwa karibu sana na Marehemu Mayalla huyu ndo atachukua kiti lakini tumuachie mwenyewe Papa.
 
Unamuweka wapi Fr. Nkwande huyu jamaa anafaa sana na alikuwa karibu sana na Marehemu Mayalla huyu ndo atachukua kiti lakini tumuachie mwenyewe Papa.[/QUOTE]


Ebwana ee, kama vile ulikuwepo kwenye mawazo yangu. Fr Nkwande is the real choice ya wana mwanza though uamuzi wa mwisho tunamwachia pope. kwa kifupi huyo Nkwande ni clean angalau huwezi kumlinganisha na mapadri wengine hasa wa mwanza.hana makuu kama vile pd bilingi au akina kubeja na wengineo, alikuwa Rector wangu pale nyegezi seminari.
At last, tungojee uamuzi wa His Holiness, Pope Benedict.
 
Turudi kwenye mada, nani wanahudhuria mazishi yake? kiongozi gani atakuwa MWanza? Waraka wa Wakatoliki utaguswa huko?
 
Back
Top Bottom