kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,456
- 20,709
Wakati nikiwa mdogo,nilikuwa nikisimuliwa Hekaya mbalimbali kuhusu Kifimbo cha Hayati Baba wa Taifa-Julius Nyerere.
Kwamba kilikuwa na Maajabu ambayo baadhi ya watu waliokuwa wakifanya kazi nae waliogopa kukisogelea hata kukishika endapo Mwl angekisahau ofisini.Wazee wetu mliokuwepo tangu utawala wa Chama Kimoja/Wachunguzi wa mambo tuelimisheni kuhusu kile kifimbo.Je ni kweli kilikuwa na maajabu yake au ulikuwa ni uzushi?Vijana wa kizazi hiki cha sasa tungependa kufahamu.
Kwamba kilikuwa na Maajabu ambayo baadhi ya watu waliokuwa wakifanya kazi nae waliogopa kukisogelea hata kukishika endapo Mwl angekisahau ofisini.Wazee wetu mliokuwepo tangu utawala wa Chama Kimoja/Wachunguzi wa mambo tuelimisheni kuhusu kile kifimbo.Je ni kweli kilikuwa na maajabu yake au ulikuwa ni uzushi?Vijana wa kizazi hiki cha sasa tungependa kufahamu.