Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,772
Kuna tetesi kuwa kuanzia bunge lijalo kutafungwa kifaa cha kukagua ulevi kwa wabunge kutokana na baadhi yao kuhisiwa kuwa wamelewa kwa kusinzia ovyo,kuropokaropoka,kutokutii amri za spika na kusahau sahau kanuni na taratibu za bunge hali iliyopelekea bunge kuwa kama ze komedi shoo watakaobainika kuwa wamepata kilevi watazuiwa kuingia mjengoni nawasilisha.
Kupima ulevi huhitaji kufunga kifaa kikubwa. zipo "breathalyzer" nyingi sana ambazo ni ndogo sana na portable wanaweza hata kuanza kesho kupima walevi