FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,179
Ukiwa na laptop. Connectify wifi hotspot ni bure.
Ukiwa na BB wifi hotspot ni bure.
Ukiwa na android tethering ni bure.
Hako kakifaa kako kamepitwa na wakati. Mimi nimetumia kama hako kanaitwa Huawei mobile wifi na sasa kamekaa bure hakana kazi.
Anyway sikulaumu sana kwani technology ya digital inabadilika kwa haraka sana kila siku.
Ukiwa na BB wifi hotspot ni bure.
Ukiwa na android tethering ni bure.
Hako kakifaa kako kamepitwa na wakati. Mimi nimetumia kama hako kanaitwa Huawei mobile wifi na sasa kamekaa bure hakana kazi.
Anyway sikulaumu sana kwani technology ya digital inabadilika kwa haraka sana kila siku.