Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Mi niseme nyie wasanii wa bongoflava kama hamna vitu vya kuimba ni bora mtafute ishu nyingine mfanye!!
Sasa hivi taifa limegubikwa na kila aina ya matatizo lakini nyie wasanii ham-reflect kitu chochote kinachotuzunguka
kwenye hizi kero zetu. Kwa sababu ya elimu duni, Ajira ngumu nyie wenyewe(wasanii wengi) m-meamua kuajiari kuimba, ajira ni tatizo, rushwa, magonjwa mengi, njaa kali, wizi, ufukara wa kutisha, janga la umeme, ukame, vifo mahospitalini...
yaani mambo mengi mengi tu, lakini hamuimbi bali mnarushiana maneno tu.
Sasa leo hii Offside Trick badala ya kumpa POLE mama MJAMZITO anayetaabika hospitalini kwa uzazi wa kisu eti leo hii
mnampa POLE SAMAKI. Jamani, ndo maudhui gani haya??Ni maudhui ya matusi kwa kwenda mbele, Nyimbo za ovyo zinaimbwa kwenye huu muziki wa hovyo!!
Sasa leo mwenzenu kajivua gamba kaondoka/kajivua gamba kundini mwenu kwa ajili ya nyimbo zenu za hovyo, eti mnamtungia nyimbo kawa kidudu mtu. sasahapa nani kidudu mtu, nyie au AT?? Mwenzenu anakula tuzo na nyie m-mebaki
kulalama tu, au yeye ndio alikuwa kichwa hapo.
Sasa angalia mlivyovuna aibu, nae kaamua kuwajibu na sijui OFFSIDE TRICK WAKALI WA ZANZIBAR mtajitetea vipi kwa
sababu nyimbo ya AT kasema bila kuuma maneno kwamba nyie ni MAS.HOGA na anakula kwa mama ntilie coz mama zenu hawajui kupika. Sasa mnaipeleka wapi sanaa ya Bongo??
Sasa hivi taifa limegubikwa na kila aina ya matatizo lakini nyie wasanii ham-reflect kitu chochote kinachotuzunguka
kwenye hizi kero zetu. Kwa sababu ya elimu duni, Ajira ngumu nyie wenyewe(wasanii wengi) m-meamua kuajiari kuimba, ajira ni tatizo, rushwa, magonjwa mengi, njaa kali, wizi, ufukara wa kutisha, janga la umeme, ukame, vifo mahospitalini...
yaani mambo mengi mengi tu, lakini hamuimbi bali mnarushiana maneno tu.
Sasa leo hii Offside Trick badala ya kumpa POLE mama MJAMZITO anayetaabika hospitalini kwa uzazi wa kisu eti leo hii
mnampa POLE SAMAKI. Jamani, ndo maudhui gani haya??Ni maudhui ya matusi kwa kwenda mbele, Nyimbo za ovyo zinaimbwa kwenye huu muziki wa hovyo!!
Sasa leo mwenzenu kajivua gamba kaondoka/kajivua gamba kundini mwenu kwa ajili ya nyimbo zenu za hovyo, eti mnamtungia nyimbo kawa kidudu mtu. sasahapa nani kidudu mtu, nyie au AT?? Mwenzenu anakula tuzo na nyie m-mebaki
kulalama tu, au yeye ndio alikuwa kichwa hapo.
Sasa angalia mlivyovuna aibu, nae kaamua kuwajibu na sijui OFFSIDE TRICK WAKALI WA ZANZIBAR mtajitetea vipi kwa
sababu nyimbo ya AT kasema bila kuuma maneno kwamba nyie ni MAS.HOGA na anakula kwa mama ntilie coz mama zenu hawajui kupika. Sasa mnaipeleka wapi sanaa ya Bongo??