Kidudu mtu-Bongoflava.

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,100
6,022
Mi niseme nyie wasanii wa bongoflava kama hamna vitu vya kuimba ni bora mtafute ishu nyingine mfanye!!
Sasa hivi taifa limegubikwa na kila aina ya matatizo lakini nyie wasanii ham-reflect kitu chochote kinachotuzunguka
kwenye hizi kero zetu. Kwa sababu ya elimu duni, Ajira ngumu nyie wenyewe(wasanii wengi) m-meamua kuajiari kuimba, ajira ni tatizo, rushwa, magonjwa mengi, njaa kali, wizi, ufukara wa kutisha, janga la umeme, ukame, vifo mahospitalini...
yaani mambo mengi mengi tu, lakini hamuimbi bali mnarushiana maneno tu.

Sasa leo hii Offside Trick badala ya kumpa POLE mama MJAMZITO anayetaabika hospitalini kwa uzazi wa kisu eti leo hii
mnampa POLE SAMAKI. Jamani, ndo maudhui gani haya??Ni maudhui ya matusi kwa kwenda mbele, Nyimbo za ovyo zinaimbwa kwenye huu muziki wa hovyo!!

Sasa leo mwenzenu kajivua gamba kaondoka/kajivua gamba kundini mwenu kwa ajili ya nyimbo zenu za hovyo, eti mnamtungia nyimbo kawa kidudu mtu. sasahapa nani kidudu mtu, nyie au AT?? Mwenzenu anakula tuzo na nyie m-mebaki
kulalama tu, au yeye ndio alikuwa kichwa hapo.

Sasa angalia mlivyovuna aibu, nae kaamua kuwajibu na sijui OFFSIDE TRICK WAKALI WA ZANZIBAR mtajitetea vipi kwa
sababu nyimbo ya AT kasema bila kuuma maneno kwamba nyie ni MAS.HOGA na anakula kwa mama ntilie coz mama zenu hawajui kupika. Sasa mnaipeleka wapi sanaa ya Bongo??
 
Wanaoimba nyimbo za maana kama 20% hachukuliwi kwenye Fiesta.

Tuzo 5,,lakini wamemwona anaimba mapambio.
 
Mi niseme nyie wasanii wa bongoflava kama hamna vitu vya kuimba ni bora mtafute ishu nyingine mfanye!!
Sasa hivi taifa limegubikwa na kila aina ya matatizo lakini nyie wasanii ham-reflect kitu chochote kinachotuzunguka
kwenye hizi kero zetu. Kwa sababu ya elimu duni, Ajira ngumu nyie wenyewe(wasanii wengi) m-meamua kuajiari kuimba, ajira ni tatizo, rushwa, magonjwa mengi, njaa kali, wizi, ufukara wa kutisha, janga la umeme, ukame, vifo mahospitalini...
yaani mambo mengi mengi tu, lakini hamuimbi bali mnarushiana maneno tu.

Sasa leo hii Offside Trick badala ya kumpa POLE mama MJAMZITO anayetaabika hospitalini kwa uzazi wa kisu eti leo hii
mnampa POLE SAMAKI. Jamani, ndo maudhui gani haya??Ni maudhui ya matusi kwa kwenda mbele, Nyimbo za ovyo zinaimbwa kwenye huu muziki wa hovyo!!

Sasa leo mwenzenu kajivua gamba kaondoka/kajivua gamba kundini mwenu kwa ajili ya nyimbo zenu za hovyo, eti mnamtungia nyimbo kawa kidudu mtu. sasahapa nani kidudu mtu, nyie au AT?? Mwenzenu anakula tuzo na nyie m-mebaki
kulalama tu, au yeye ndio alikuwa kichwa hapo.

Sasa angalia mlivyovuna aibu, nae kaamua kuwajibu na sijui OFFSIDE TRICK WAKALI WA ZANZIBAR mtajitetea vipi kwa
sababu nyimbo ya AT kasema bila kuuma maneno kwamba nyie ni MAS.HOGA na anakula kwa mama ntilie coz mama zenu hawajui kupika. Sasa mnaipeleka wapi sanaa ya Bongo??
Siwalaumu sana kwa sababu wao wanaanglia wadanganyika tunataka nini na ndicho wanatuchotuimbia..bro,fanya hata research hapa JF utaona watu wengi tunapenda MMU..sasa utawalaumuje hao Ubongo wa fleva???...ni kawaida yetu kupenda mambo ya mzaha..masemo wa mkuu mmoja hapa bongo bora maisha uyafaye kama kitu cha mzaha manake uki-complicate
umekwenda..
Ila hapo mkuu..kwenye red, ebu nitumie basi kibao hiko cha AT unajua huku ughaibuni sometimes tunakosa mengi..
 
Kazi ni kazi tu, musianze kuwasema OFSIDE TRICK kwasababu ya wimbo wa kidudu mtu. Kuna nyimbo huku bongo za kipumbavu zaidi wala hata hazivutii.
By the way, OFSIDE TRICK me nawaona wapo chini kuliko AT. Coz AT anapiga mziki kama kazi then anapiga mziki kwa kujibu mapigo kutoka kwa wapinzani wake. Wimbo wakidudu mtu kabla kuujibu katanguliza nyimbo ya Mmemchokoza nyangumi then ndo akaujibu kwa wimbo wa VIFUU TUNDU (kuna kipande cha mashoga). Na bado kuna majibizano yaliyoendelea kati yao ila AT kikazi katoa wimbo ambao nasikia ni mzuri unaoitwa MSHAHARA HAUTOSHI.
 
Back
Top Bottom