Kidato cha Tano na Sita kusoma BURE Kigoma

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
605
1,536
12745677_1074314115922618_4968916211277400589_n.jpg


Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ndg. Hussein Ruhava ametangaza rasmi kwamba Elimu ya Kidato cha Tano na cha Sita katika Manispaa itakuwa bila malipo. Manispaa itafidia mapato ya ada hizo kwenye mashule kupitia makusanyo yake ya ndani yanayotokana na tozo za minara ya simu

Ikumbukwe Manispaa ya Kigoma Ujiji inaongozwa na ACT Wazalendo, na chama kiliwaahidi wakazi wa manispaa na watanzania kwa ujumla kuwa Manispaa hii itakuwa ya mfano, na kwamba ACT Wazalendo inataka kufungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania, tunafanya siasa za masuala kwa maslahi ya watanzania wote.

Tunaomba watanzania muendelee kutuunga mkono.
 

Attachments

  • 12745586_116999328691113_1104561461702970414_n.jpg
    12745586_116999328691113_1104561461702970414_n.jpg
    53.3 KB · Views: 78
View attachment 325564

Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ndg. Hussein Ruhava ametangaza rasmi kwamba Elimu ya Kidato cha Tano na cha Sita katika Manispaa itakuwa bila malipo. Manispaa itafidia mapato ya ada hizo kwenye mashule kupitia makusanyo yake ya ndani yanayotokana na tozo za minara ya simu

Ikumbukwe Manispaa ya Kigoma Ujiji inaongozwa na ACT Wazalendo, na chama kiliwaahidi wakazi wa manispaa na watanzania kwa ujumla kuwa Manispaa hii itakuwa ya mfano, na kwamba ACT Wazalendo inataka kufungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania, tunafanya siasa za masuala kwa maslahi ya watanzania wote.

Tunaomba watanzania muendelee kutuunga mkono.

Innovative ideas. Huyu ni ZZK tu si mtu mwingine
 
View attachment 325564

Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ndg. Hussein Ruhava ametangaza rasmi kwamba Elimu ya Kidato cha Tano na cha Sita katika Manispaa itakuwa bila malipo. Manispaa itafidia mapato ya ada hizo kwenye mashule kupitia makusanyo yake ya ndani yanayotokana na tozo za minara ya simu

Ikumbukwe Manispaa ya Kigoma Ujiji inaongozwa na ACT Wazalendo, na chama kiliwaahidi wakazi wa manispaa na watanzania kwa ujumla kuwa Manispaa hii itakuwa ya mfano, na kwamba ACT Wazalendo inataka kufungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania, tunafanya siasa za masuala kwa maslahi ya watanzania wote.

Tunaomba watanzania muendelee kutuunga mkono.
Hii ndio mifano ya kuigwa...Tanzania inajengwa na watanzania wenyewe, na kubomolewa na watanzania wenyewe
 
Wazo zuri, ila tu tunaomba serekali isije ikaleta mizengwe kwamba sio sera ya chama kilichoko madarakani. Nakumbuka hicho kikwazo kiliwahi kutolewa katika manispaa ya moshi wakati cdm walipotaka kusomesha wanafunzi bure, mkurugenzi aligoma kwa kusema sera za chama kilichoko madarakani hakifuati sera hiyo.
 
nakumbuka wazo hili aliwahi kulitoa mh. tundu antipas mugway lissu, si vibaya zitto kaiga jambo jema toka cdm. hongera zzk.
 
Nasikia pia wanabomoa soko la bidhaa eneo la Mwanga (Kigoma) na kujenga jipya la kisasa!
 
View attachment 325564

Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ndg. Hussein Ruhava ametangaza rasmi kwamba Elimu ya Kidato cha Tano na cha Sita katika Manispaa itakuwa bila malipo. Manispaa itafidia mapato ya ada hizo kwenye mashule kupitia makusanyo yake ya ndani yanayotokana na tozo za minara ya simu

Ikumbukwe Manispaa ya Kigoma Ujiji inaongozwa na ACT Wazalendo, na chama kiliwaahidi wakazi wa manispaa na watanzania kwa ujumla kuwa Manispaa hii itakuwa ya mfano, na kwamba ACT Wazalendo inataka kufungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania, tunafanya siasa za masuala kwa maslahi ya watanzania wote.

Tunaomba watanzania muendelee kutuunga mkono.


Naona wamebana matumizi pia, aliyekunywa maji amemaliza chupa imeanguka, hakuna kuongeza
 
Kwani kigoma mjini kuna shule ngapi za kidato cha 5&6????

Maana nilisoma Kigoma High school mwaka 2005-2007 kulikuwa na shule moja tuu ya Advance nayo ni KIGOMA YENYEWE!!!!
 
Back
Top Bottom