Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Unajua tatizo kubwa nilionalo mimi kuwa inawezekana in a way hii sheria ikawa ngumu hasa vijijini-hebu fikiria umekwenda kijijini kwenu kule inyonga halafu jioni ukaenda mahala ambapo wazee hukutana jioni kubadilishana mawazo huku wakigida pombe zetu za kienyeji 'afu nawe [mgombea mtarajiwa]ukajumuika nao kunywa na ukatoa raound za kutosha tuu jee tafsiri yake nini hapa.Au kwenye msiba ukatoa ngombe kufanikisha shughuli ya msiba [Wazee wataitafsiri hali hii kama takrima au rushwa????