Kichwa kinanvyoniuma nikifikiria Kuoa.

nmeoa last month!nimebeba mchumba,mamaake(babaake yupo moshi hakuja),na mamaangu(wazaz wangu wapo mbeya nlpendekeza aje mmoja ili kupunguza gharama) na ndugu wa karibu nkafunga ndoa.mke wangu walivaa gaun jeupe elf 20 pia matron wake,mi nlva black trouser na shati jeupe pamoja na msmamizi wangu elf 40 kwa wote wawili.hakuenda salon,pete 2 kwa elf 10,za kawaida tu japo padri altaka kuleta zogo mi nlmwambia ndoa ndo tukio kubwa,sio pete,akakubali kwa shngo upande)baada ya kufunga ndoa tukaelekea kwangu kinyerezi,kwa mbele kuna kaeneo kadogo ka kutosha watu 30 waliokaa..nkanunua kilo zangu 30 za mchele na nyama kilo 15 na kreti 30 za soda..tukala tukanywa,sikumchangisha mtu hela hata buku!saa 1 jion watu wakatawanyika.
nimeipenda hii nitaaply maana umiza kichwa sana.
 
Back
Top Bottom