kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
baada ya kichwa cha mwenye kipara kuwa ni bonge ya deal sasa albino waganga wa jadi wanautumiwa na wafanyabiashara na wezi wa epa na kina liyumba sasa wanataka kichwa cha waziri serikalini au kamishna au mtu maarufu kukamilisha mazingaumbwe yao ili mambo yawe poa.
Kule mbuguni hawalali wakipanga mbinu kuwapata mawaziri na kuchukua kichwa ili mwamba utoe mambo.
sasa kazi kwa Pinda na kilio chake cha kizushi bungeni.Hata kichwa chake ni mali.
Kule mbuguni hawalali wakipanga mbinu kuwapata mawaziri na kuchukua kichwa ili mwamba utoe mambo.
sasa kazi kwa Pinda na kilio chake cha kizushi bungeni.Hata kichwa chake ni mali.