Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,502
- 19,341
Kwa muda mrefu sijaweka post yoyote hapa kwa sababu zisizozuilika ingawa huwa napitia haraka haraka topiki mbalimbali zinazoongelewa. Hata hivyo, siku za mbeleni nitakuwa active tena hasa kwa vile najua kuwa wigo wa majadiliano hapa umekuwa mpana sana ukichanganya na ufungwaji wa zeutamu.
Kilichonishanganza ni kuwa baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, identity yangu ya KICHUGUU imetekwa nyara. Sasa hivi ni vigumu kujua kichuguu halisi ni nani kwa vile kumekuwa na kichuguu mwingine. Sijui hawa watekaji nyara wanaka nguchiro na mchwa wangu wakaishi wapi, mungu wangu.
Jana nilikuwa nataka kuregister domain name ya KICHUGUU.COM nikaambiwa kuwa jina hilo lina wenyewe. Kutafuta ni nani huyo, nikagundua kuwa ni mwanachama wa JF wa siku nyingi na aliregister domain hii mwaka huu tu wakati nilipokuwa sisikiki. Hii ni kuoneana kabisa.
Hata hivyo nawaomba wanachama mtambue kuwa huyo Kichuguu.com ni impostor tu, Kichuguu halisi ni mimi na bado nipo.
Kilichonishanganza ni kuwa baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, identity yangu ya KICHUGUU imetekwa nyara. Sasa hivi ni vigumu kujua kichuguu halisi ni nani kwa vile kumekuwa na kichuguu mwingine. Sijui hawa watekaji nyara wanaka nguchiro na mchwa wangu wakaishi wapi, mungu wangu.
Jana nilikuwa nataka kuregister domain name ya KICHUGUU.COM nikaambiwa kuwa jina hilo lina wenyewe. Kutafuta ni nani huyo, nikagundua kuwa ni mwanachama wa JF wa siku nyingi na aliregister domain hii mwaka huu tu wakati nilipokuwa sisikiki. Hii ni kuoneana kabisa.
Hata hivyo nawaomba wanachama mtambue kuwa huyo Kichuguu.com ni impostor tu, Kichuguu halisi ni mimi na bado nipo.